Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]Na utapata ajali ya ndege umbwa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]Na utapata ajali ya ndege umbwa wewe
Safi sana dada hao wanaofanya hvyo ni kutojiheshimMwanamke amempenda mwanaume akamuoa, anapata tena hisia na mtu mwingine? Atakuwa tu na tabia ya umalayer.....mi nlivoolewa hata majina ya maex nliyasahau hata nikutane naye wapi hata mawasliano yangu hachukui, wa nini kwanza, kama tulipendana tungeoana lakini ilishindikana afu ndo nije kupata hisia juu yake tena? Dah sjui wanawake wengine wakoje
Kutokujua kuandika kunamwondoleaje sifa ya mke mwema?Hivi mwanaume unaanzaje kuoa mwanamke taahira kabisa ambaye hajui hata kuandika? Kwa hiyo anaandika ko, ukiona mtu wa hivyo amekuwa disqualified
Unadanganywa na unakubali. Hilo ni danga kama madanga mengine. Usilewe kwa maneno yake.Wanawake kama wewe ni adimu sana!
I wish I could find one
Kashaziona,hili bwege km linajipenda hata Dar asisogee.Tatizo sio kuchakata mke wa mtu.. tatizo ni kuvujisha chats zenu hapa mtandaoni. Kimsingi mleta mada unajiona mjanja ila ni mpuuzi na mshamba mno. What if kwa bahati mbaya mume akaona hizo msg na bahati mbaya zaidi akauona na huu uzi? Vijana tumieni smartphone zenu kiakili.
Hawajakushawishi vizuri au hawana fweza[emoji23]Mwanamke amempenda mwanaume akamuoa, anapata tena hisia na mtu mwingine? Atakuwa tu na tabia ya umalayer.....mi nlivoolewa hata majina ya maex nliyasahau hata nikutane naye wapi hata mawasliano yangu hachukui, wa nini kwanza, kama tulipendana tungeoana lakini ilishindikana afu ndo nije kupata hisia juu yake tena? Dah sjui wanawake wengine wakoje
Mbona kwenye hizo Chats zenu unajieleza sana kama vile wewe ndiye mke wa mtu halafu yeye ndiye mwanaume?Alikua mchepuko wangu siku za nyuma tukaja kupotezeana,so tumekutana tena na nimemdanganya danganya kaelewa somo.weekend hii natua hapo dar na bombardier ya saa 7,namtia mpaka saa 1 usiku.
Mwenye mke wake utanisamehe bure.
Mtakuja kupigwa pumbu hadharani bure, yaan unatongoza mke wa mtu na unamlazimisha kabisa. Endelea kujichanganya utakua mke mdg shauri yakoAlikua mchepuko wangu siku za nyuma tukaja kupotezeana,so tumekutana tena na nimemdanganya danganya kaelewa somo.weekend hii natua hapo dar na bombardier ya saa 7,namtia mpaka saa 1 usiku.
Mwenye mke wake utanisamehe bure.
Wakoje tena ..sii wako kimwanamke zaidi🤣🤣🤣🤣Mwanamke amempenda mwanaume akamuoa, anapata tena hisia na mtu mwingine? Atakuwa tu na tabia ya umalayer.....mi nlivoolewa hata majina ya maex nliyasahau hata nikutane naye wapi hata mawasliano yangu hachukui, wa nini kwanza, kama tulipendana tungeoana lakini ilishindikana afu ndo nije kupata hisia juu yake tena? Dah sjui wanawake wengine wakoje
Humu kumejaa vijana wa hovyoMidume ya jf mingi ni minoko hatareee,haina kifua Cha kutunza Siri kila matapishi yanakuja kutapika humu.Yaani nilishaa apa nikija kugundua bwana wangu anatumia jf namuacha sikuhiohio.Bora wanaume wa fb na ista kidogo wanna nafuu siyo humu pyuuuuu ovyo.
Bado Nakupenda ujueHii thread itajaa comments za aina 3
1: wanaume waliovurugwa na maneno ya jamaa (kugongewa) watamwaga shombo vibaya sana
2: wanawake watakatifu kuliko utakatifu wenyewe, kumshangaa huyu kuchepuka
3: wakataa ndoa
Nipo chini ya mti nakula upepo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Pole mkuuNikionaga iv uwa naumia sana roho yangu inaumaa sana
Team kataa ndoa sijui ipo wapi? Huu upuuzi hauvumilikiView attachment 2531714
Wanawake kwenye ndoa mtulie jamani. Msishandane na sisi. Ona huyo mpuuzi hapo juu,nimempa hi tu anataka kukumbushia. Kaniudhi sana
Vip wew ulishawahi kuchepuka?Hii thread itajaa comments za aina 3
1: wanaume waliovurugwa na maneno ya jamaa (kugongewa) watamwaga shombo vibaya sana
2: wanawake watakatifu kuliko utakatifu wenyewe, kumshangaa huyu kuchepuka
3: wakataa ndoa
Nipo chini ya mti nakula upepo
Anaekula cha mwenzie ma chake huliwa, omba Mungu aliwe mke wako.Alikua mchepuko wangu siku za nyuma tukaja kupotezeana,so tumekutana tena na nimemdanganya danganya kaelewa somo.weekend hii natua hapo dar na bombardier ya saa 7,namtia mpaka saa 1 usiku.
Mwenye mke wake utanisamehe bure.
Spana spana [emoji3][emoji3][emoji3]Mbaya zaidi jamaa anaenda kumpakia mkongo....