Huyu mke wa mtu weekend hii lazima nimtafune

Huyu mke wa mtu weekend hii lazima nimtafune

Hii thread itajaa comments za aina 3
1: wanaume waliovurugwa na maneno ya jamaa (kugongewa) watamwaga shombo vibaya sana

2: wanawake watakatifu kuliko utakatifu wenyewe, kumshangaa huyu kuchepuka

3: wakataa ndoa

Nipo chini ya mti nakula upepo
Wanaume walioa wanasoma uzi (viewers 1k
Wanang’amua mwandiko wa mke anayechatishwa
 
Mwanamke amempenda mwanaume akamuoa, anapata tena hisia na mtu mwingine? Atakuwa tu na tabia ya umalayer.....mi nlivoolewa hata majina ya maex nliyasahau hata nikutane naye wapi hata mawasliano yangu hachukui, wa nini kwanza, kama tulipendana tungeoana lakini ilishindikana afu ndo nije kupata hisia juu yake tena? Dah sjui wanawake wengine wakoje
Tatizo ni kwamba wanawake wenye msimamo wa hivyo mmebaki wawili tu duniani.
Mmoja aligunduliwa visiwa vya Hawaii na amefariki mwaka jana kwa Corona na hata wewe utakuwa ushakufa hauko kwenye hii dunia.
 
Alikua mchepuko wangu siku za nyuma tukaja kupotezeana,so tumekutana tena na nimemdanganya danganya kaelewa somo.weekend hii natua hapo dar na bombardier ya saa 7,namtia mpaka saa 1 usiku.
Mwenye mke wake utanisamehe bure.
Ukiliwa kiboga utuletee mrejesho
 
Sasa hapa wewe uliyepost ni You au green chat?
Wewe ni mwanamke halafu ujifanye kumtafuna mke wa mtu huu usagani wenu unatishia amani
 
Screenshot_20230227-155803_Messages.jpg

Wanawake kwenye ndoa mtulie jamani. Msishandane na sisi. Ona huyo mpuuzi hapo juu,nimempa hi tu anataka kukumbushia. Kaniudhi sana
 
Na utapata ajali ya ndege umbwa wewe
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kila nikirudi kwenye comment hii[emoji115]nacheka kwa sauti sana maana imejibiwa kwa hasira sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah sjui wanawake wengine wakoje
Hio ni sample specimen ya wanawake wote kwa ujumla, kuna ex wangu tuliachana Ila kabla ya kuachana aliniambia ikitokea tumeachana akaolewa na mwanaume mwingine akija kukutana na mimi atataka nimtunuku mtoto tu alafu niende zangu yeye atajua kumpachikia jamaa yake, na niliwahi kukutana nae akaniambia ule msimamo wake bado upo pale pale na by that time alikua anachumbiwa na mlugaluga mmoja hivi, sasa bado nipo kwenye tafakari though tulishapoteana tena, yule nikikutana nae leo nikimwambia nataka leo univulie chupi hachomoi ananiambia andaa location maana anazijua show zangu sio za kitoto toto, copy that?

Wanawake hua mna mission zenu za ndani ni ngumu kwa mwanaume wa kawaida kuzibaini,

KATAA NDOA KWA HERUFI KUBWA
 
Alikua mchepuko wangu siku za nyuma tukaja kupotezeana,so tumekutana tena na nimemdanganya danganya kaelewa somo.weekend hii natua hapo dar na bombardier ya saa 7,namtia mpaka saa 1 usiku.
Mwenye mke wake utanisamehe bure.
Sa unapoweka hapa...kwamba unatoa ujumbe gani??...Sijaelewa bado mantiki ya huu uzi?
 
hayo magumu na yakipekee kuyapata ni kwako kwa wengine ni kawaida,unaweza hata ukachukua na video ilimradi tu uje uwaaminishe wana umekula mke wa mtu
Wana ni kina nani? Vijana Wanaotazama video za ngono pamoja?
 
Back
Top Bottom