Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mstaarabu hachakati mbususuNakuonaga mstaarabu kweli yaan
Pole mkuuSiku zinakuja ambapo yote yaliyofanyika sirini yatawekwa adharani.
Watu kama nyie ndio mnaosababisha Wanawake wanakua na kiburi Kwa waume zao na kusababisha wanaume wanateseka sana.
Wanawake wamekua ni wazinzi sana wanachoficha ni kujulikana TU lakini wanachepuka sana.
Mnavunja ndoa za watu ,watoto wanateseka , laana ya asili iwe juu yenu mkifikisha umri wa miaka 40 mpatwe na Kisukari kikali kabisa ili mmalize kazi ya kuzini mapema maishani Mwenu. Wasichana wapo wengi warembo mnakimbilia wake za watu. Mmeleta mitafaruku mikubwa sana kwenye ndoa za watu.Mnasababisha mauaji na huzuni kubwa kwenye jamii. Maumivu mnayowapa wanaume wenzenu na watoto yatawarudia mapema maishani Mwenu. Kwa Uwezo wa Mungu aliyeumba wanaume na Wanawake akasema kila mmoja aoe na kuanzisha familia yake kupitia ndoa iwe ya wake wengi au mmoja nawaombea Magonjwa ya Kisukari na presha mkiwa Bado na umri wa miaka 40 kushuka chini. Halafu muishi miaka mingi huku mkiwa hamna uwezo wa kufanya mapenzi hata mara Moja Kwa mwaka.
Karma haitawaangusha wanaume na watoto mnaowaletea mateso Duniani.
Kuna mke wa mtu mmoja kadungwa mimba mtoto anatembea SAsa mme wake wa ndoa kagundua kala kona mchepuko ambae nae ni mme wa mtu nae kala kona kakosa vyote,Mwanamke amempenda mwanaume akamuoa, anapata tena hisia na mtu mwingine? Atakuwa tu na tabia ya umalayer.....mi nlivoolewa hata majina ya maex nliyasahau hata nikutane naye wapi hata mawasliano yangu hachukui, wa nini kwanza, kama tulipendana tungeoana lakini ilishindikana afu ndo nije kupata hisia juu yake tena? Dah sjui wanawake wengine wakoje
Kwa nn mkuuMimi majitu yanayotafuna wake za wenziye siyapendi kwakweli basi tu .
Single mother on the BEATMama yako kagongwa na kina nani?
Tamaa ya pesa umalaya ni ndugu, pepo wa ngono ndo tafsiri sahihi.Tamaa ya pesa na Umalaya unatofautisha vipi na Umalaya tafsiri yake ikoje na pesa inajitenga vipi katika muktadha wa umalaya
Nilikuwa natafuta hela ya kukupa, sasa nimepata...hebu nitafuteNimekumiss kwani ulipotelea wapi, asikufiche hivi na huku nje tunakuhitaji [emoji2]
I love you so much 🤣🤣🤣🤣Nilikuwa natafuta hela ya kukupa, sasa nimepata...hebu nitafute
Duuh, wasamehe MkuuSiku zinakuja ambapo yote yaliyofanyika sirini yatawekwa adharani.
Watu kama nyie ndio mnaosababisha Wanawake wanakua na kiburi Kwa waume zao na kusababisha wanaume wanateseka sana.
Wanawake wamekua ni wazinzi sana wanachoficha ni kujulikana TU lakini wanachepuka sana.
Mnavunja ndoa za watu ,watoto wanateseka , laana ya asili iwe juu yenu mkifikisha umri wa miaka 40 mpatwe na Kisukari kikali kabisa ili mmalize kazi ya kuzini mapema maishani Mwenu. Wasichana wapo wengi warembo mnakimbilia wake za watu. Mmeleta mitafaruku mikubwa sana kwenye ndoa za watu.Mnasababisha mauaji na huzuni kubwa kwenye jamii. Maumivu mnayowapa wanaume wenzenu na watoto yatawarudia mapema maishani Mwenu. Kwa Uwezo wa Mungu aliyeumba wanaume na Wanawake akasema kila mmoja aoe na kuanzisha familia yake kupitia ndoa iwe ya wake wengi au mmoja nawaombea Magonjwa ya Kisukari na presha mkiwa Bado na umri wa miaka 40 kushuka chini. Halafu muishi miaka mingi huku mkiwa hamna uwezo wa kufanya mapenzi hata mara Moja Kwa mwaka.
Karma haitawaangusha wanaume na watoto mnaowaletea mateso Duniani.
Hizo chats inaonesha wazi kwamba unamlazimisha huyu manzi
Hii thread itajaa comments za aina 3
1: wanaume waliovurugwa na maneno ya jamaa (kugongewa) watamwaga shombo vibaya sana
2: wanawake watakatifu kuliko utakatifu wenyewe, kumshangaa huyu kuchepuka
3: wakataa ndoa
Nipo chini ya mti nakula upepo
Hapana am just cool...cool as fck 🙂[emoji28][emoji28] nkajua na leo utavaa uhusika wa hawa wa3[emoji28]
[emoji23][emoji23]Mimi majitu yanayotafuna wake za wenziye siyapendi kwakweli basi tu .
Ndoa sio upumbavu, watu ndio wanafanya ndoa iwe upumbavu ama kinyume chake. Mtu kaoa anakula nje, mwingine kaolewa anakizururisha nje.Watu kama hawa ndio wanafanya ndoa ionekane ya hovyo kumbe sio.Ndoa ni upumbavu kama upumbavu mwingine.
[emoji23]Huyu manzi inaonesha kabisa akili zake za kushoto tu[emoji1787][emoji1787]. Na mleta mada hata kutongoza hujui kiazi wewe[emoji1787][emoji1787]