Huyu mke wa mtu weekend hii lazima nimtafune

Huyu mke wa mtu weekend hii lazima nimtafune

Siku zinakuja ambapo yote yaliyofanyika sirini yatawekwa adharani.


Watu kama nyie ndio mnaosababisha Wanawake wanakua na kiburi Kwa waume zao na kusababisha wanaume wanateseka sana.

Wanawake wamekua ni wazinzi sana wanachoficha ni kujulikana TU lakini wanachepuka sana.
Mnavunja ndoa za watu ,watoto wanateseka , laana ya asili iwe juu yenu mkifikisha umri wa miaka 40 mpatwe na Kisukari kikali kabisa ili mmalize kazi ya kuzini mapema maishani Mwenu. Wasichana wapo wengi warembo mnakimbilia wake za watu. Mmeleta mitafaruku mikubwa sana kwenye ndoa za watu.Mnasababisha mauaji na huzuni kubwa kwenye jamii. Maumivu mnayowapa wanaume wenzenu na watoto yatawarudia mapema maishani Mwenu. Kwa Uwezo wa Mungu aliyeumba wanaume na Wanawake akasema kila mmoja aoe na kuanzisha familia yake kupitia ndoa iwe ya wake wengi au mmoja nawaombea Magonjwa ya Kisukari na presha mkiwa Bado na umri wa miaka 40 kushuka chini. Halafu muishi miaka mingi huku mkiwa hamna uwezo wa kufanya mapenzi hata mara Moja Kwa mwaka.
Karma haitawaangusha wanaume na watoto mnaowaletea mateso Duniani.
Pole mkuu
 
Mwanamke amempenda mwanaume akamuoa, anapata tena hisia na mtu mwingine? Atakuwa tu na tabia ya umalayer.....mi nlivoolewa hata majina ya maex nliyasahau hata nikutane naye wapi hata mawasliano yangu hachukui, wa nini kwanza, kama tulipendana tungeoana lakini ilishindikana afu ndo nije kupata hisia juu yake tena? Dah sjui wanawake wengine wakoje
Kuna mke wa mtu mmoja kadungwa mimba mtoto anatembea SAsa mme wake wa ndoa kagundua kala kona mchepuko ambae nae ni mme wa mtu nae kala kona kakosa vyote,
 
Tamaa ya pesa na Umalaya unatofautisha vipi na Umalaya tafsiri yake ikoje na pesa inajitenga vipi katika muktadha wa umalaya
Tamaa ya pesa umalaya ni ndugu, pepo wa ngono ndo tafsiri sahihi.
 
Siku zinakuja ambapo yote yaliyofanyika sirini yatawekwa adharani.


Watu kama nyie ndio mnaosababisha Wanawake wanakua na kiburi Kwa waume zao na kusababisha wanaume wanateseka sana.

Wanawake wamekua ni wazinzi sana wanachoficha ni kujulikana TU lakini wanachepuka sana.
Mnavunja ndoa za watu ,watoto wanateseka , laana ya asili iwe juu yenu mkifikisha umri wa miaka 40 mpatwe na Kisukari kikali kabisa ili mmalize kazi ya kuzini mapema maishani Mwenu. Wasichana wapo wengi warembo mnakimbilia wake za watu. Mmeleta mitafaruku mikubwa sana kwenye ndoa za watu.Mnasababisha mauaji na huzuni kubwa kwenye jamii. Maumivu mnayowapa wanaume wenzenu na watoto yatawarudia mapema maishani Mwenu. Kwa Uwezo wa Mungu aliyeumba wanaume na Wanawake akasema kila mmoja aoe na kuanzisha familia yake kupitia ndoa iwe ya wake wengi au mmoja nawaombea Magonjwa ya Kisukari na presha mkiwa Bado na umri wa miaka 40 kushuka chini. Halafu muishi miaka mingi huku mkiwa hamna uwezo wa kufanya mapenzi hata mara Moja Kwa mwaka.
Karma haitawaangusha wanaume na watoto mnaowaletea mateso Duniani.
Duuh, wasamehe Mkuu
 
Hii thread itajaa comments za aina 3
1: wanaume waliovurugwa na maneno ya jamaa (kugongewa) watamwaga shombo vibaya sana

2: wanawake watakatifu kuliko utakatifu wenyewe, kumshangaa huyu kuchepuka

3: wakataa ndoa

Nipo chini ya mti nakula upepo

[emoji28][emoji28] nkajua na leo utavaa uhusika wa hawa wa3[emoji28]
 
Back
Top Bottom