Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh "ninyi makomredi" ninawahofia sana.....🤣Tukutane mnadani jumamosi comrade tupate ulimu wa kuchoma huku tukipata alkasusu safi
Ndivyo mlivyo hivyo komredi....hamkubali uhalisia wenu 🤣🤣Hofu ya bure kule huwa naleta mbuzi sana comrade hofu ondoa
Hofu ya bure kule huwa naleta mbuzi sana comrade hofu ondoa
Mkuu wa Stendi hali yako komredi!Ngoja nichomekee neti kwanza
🤣🤣Kwani umeshatoka Longido?!!Ila kama uko dodoma kesho naku PM Comrade uje chalinze nyama tusogeze siku tukisherekea birhday ya Muhammad
🤣🤣Cannabis sativa effect Comrade
Ushachelewa Bro. Labda akuunganishie wenzake maani wamejaa tele na ukiwa serious unataka kuoa ni greenlight faster. Ndoa sikuhizi ni bidhaa adimu atiNaomba connection
Hao wengine hapana, tabia zao nazijua vyema basi kama itawezekana anifanye spea tairi maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai, Hata wao kwa wao wanalijua hilo vyema kabisaUshachelewa Bro. Labda akuunganishie wenzake maani wamejaa tele na ukiwa serious unataka kuoa ni greenlight faster. Ndoa sikuhizi ni bidhaa adimu ati
🤣Mjanja sana wewe Comrade, upstair uko njema pia hongera sana
Haaahaaa!!Hao wengine hapana, tabia zao nazijua vyema basi kama itawezekana anifanye spea tairi maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai, Hata wao kwa wao wanalijua hilo vyema kabisa