Huyu mlinzi wa Rais Samia Suluhu Hassan ananivutia sana

Huyu mlinzi wa Rais Samia Suluhu Hassan ananivutia sana

Nikae mbali
Kabisa mkuu kabla ya kumfikia mama kuna wale wanaotengeneza box formation pia kuna wale askari kutoka rwanda na maofisa wengine sio rahisi kama unavyofikiria kabla ya kuwafikia wale hao watakuwa wamekudhibiti tayari
 
Ushachelewa Bro. Labda akuunganishie wenzake maani wamejaa tele na ukiwa serious unataka kuoa ni greenlight faster. Ndoa sikuhizi ni bidhaa adimu ati
Hao wengine hapana, tabia zao nazijua vyema basi kama itawezekana anifanye spea tairi maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai, Hata wao kwa wao wanalijua hilo vyema kabisa
 
Aisee achana na demu wangu!
Jaribu kuwa na lugha ya staha kwa wake za watu, demu hili neno linatumika kwa wadada ambao bado hawajua vizuri kuoga. Hivyo ni vyema ukafuta kauli boss
 
Hao wengine hapana, tabia zao nazijua vyema basi kama itawezekana anifanye spea tairi maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai, Hata wao kwa wao wanalijua hilo vyema kabisa
Haaahaaa!!
 
Back
Top Bottom