Huyu mlinzi wa Rais Samia Suluhu Hassan ananivutia sana

Huyu mlinzi wa Rais Samia Suluhu Hassan ananivutia sana

Cherie nanga aza kitoko , motema na ngai......Parfois l'amour est compliqué mais Chérie à moi est toujours romantique!
 
Nipe connection mkuu, huyu mdada ndio mtu pekee ambaye amenifanya niwe nafuatilia ziara za mama, huwa ananikosha sana.

Tangu awe mlinzi wa mama chura yake imekuwa standard, ngozi imenawiri vyema ana sifa zote za kuwa mke wa pili
Sema nini!!!, wewe utakuwa mume wa 93 na sio wa mwisho!
 
Nipe connection mkuu, huyu mdada ndio mtu pekee ambaye amenifanya niwe nafuatilia ziara za mama, huwa ananikosha sana.

Tangu awe mlinzi wa mama chura yake imekuwa standard, ngozi imenawiri vyema ana sifa zote za kuwa mke wa pili
Unatafuta kibano ww
 
Wee jamaa unaonekana chenga sana, sasa ni nini hiki unaleta hapa......
 
Hata Rais ana mume we unawaza nini isarandie hiyo mama had uikware
 
Kama kichwa cha habari kinavyodai, kwa yeyote ambaye anaweza niunganisha na huyu mwanamama anayemlinda Mh. Rais naomba aweze kunipa connection ni wapi nitampata amekuwa akinivutia sana jinsi anavyotekeleza majukumu yake ya kiusalama kwa Mama yetu.

Nipo tayari kumpa shamba langu la urithi la michungwa mtu yoyote ambaye ataweza nipatia mawasiliano yake, kama sio mawasiliano yake basi kunikutanisha nae tu inatosha kabisa.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.

NB: Mlinzi ni huyo mdada aliyesimama upande wa kulia wa mama, na kama bado hajaolewa niko tayari kumfanya mke wa pili.



View attachment 1978940View attachment 1978958
0713 668 668 Ila ni mke wa Deputy IGP mstaafu . So it's for ur own risk mkuu
 
Kama kichwa cha habari kinavyodai, kwa yeyote ambaye anaweza niunganisha na huyu mwanamama anayemlinda Mh. Rais naomba aweze kunipa connection ni wapi nitampata amekuwa akinivutia sana jinsi anavyotekeleza majukumu yake ya kiusalama kwa Mama yetu.

Nipo tayari kumpa shamba langu la urithi la michungwa mtu yoyote ambaye ataweza nipatia mawasiliano yake, kama sio mawasiliano yake basi kunikutanisha nae tu inatosha kabisa.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.

NB: Mlinzi ni huyo mdada aliyesimama upande wa kulia wa mama, na kama bado hajaolewa niko tayari kumfanya mke wa pili.



View attachment 1978940View attachment 1978958
popo-ma katika ujinga wako wa kipopo-ma
 
Nipe connection mkuu, huyu mdada ndio mtu pekee ambaye amenifanya niwe nafuatilia ziara za mama, huwa ananikosha sana.

Tangu awe mlinzi wa mama chura yake imekuwa standard, ngozi imenawiri vyema ana sifa zote za kuwa mke wa pili
Ndani ya lugalo base ingia501kj geti la kwanza ukitokea upande wa makongo skuli ukiivuka hiyo kambi unakutana na MPone
 
Back
Top Bottom