Huyu mlinzi wa Rais Samia Suluhu Hassan ananivutia sana

Jaribu kuwa na lugha ya staha kwa wake za watu, demu hili neno linatumika kwa wadada ambao bado hawajua vizuri kuoga. Hivyo ni vyema ukafuta kauli boss
Nimesema achana na demu wangu, huelewi nini??!
 
Cherie nanga aza kitoko , motema na ngai......Parfois l'amour est compliqué mais Chérie à moi est toujours romantique!
 
Nipe connection mkuu, huyu mdada ndio mtu pekee ambaye amenifanya niwe nafuatilia ziara za mama, huwa ananikosha sana.

Tangu awe mlinzi wa mama chura yake imekuwa standard, ngozi imenawiri vyema ana sifa zote za kuwa mke wa pili
Sema nini!!!, wewe utakuwa mume wa 93 na sio wa mwisho!
 
Nipe connection mkuu, huyu mdada ndio mtu pekee ambaye amenifanya niwe nafuatilia ziara za mama, huwa ananikosha sana.

Tangu awe mlinzi wa mama chura yake imekuwa standard, ngozi imenawiri vyema ana sifa zote za kuwa mke wa pili
Unatafuta kibano ww
 
Me ngoja nikusaidie tu jina lake..anaitwa Vero.
 
Wee jamaa unaonekana chenga sana, sasa ni nini hiki unaleta hapa......
 
Hata Rais ana mume we unawaza nini isarandie hiyo mama had uikware
 
0713 668 668 Ila ni mke wa Deputy IGP mstaafu . So it's for ur own risk mkuu
 
popo-ma katika ujinga wako wa kipopo-ma
 
Nipe connection mkuu, huyu mdada ndio mtu pekee ambaye amenifanya niwe nafuatilia ziara za mama, huwa ananikosha sana.

Tangu awe mlinzi wa mama chura yake imekuwa standard, ngozi imenawiri vyema ana sifa zote za kuwa mke wa pili
Ndani ya lugalo base ingia501kj geti la kwanza ukitokea upande wa makongo skuli ukiivuka hiyo kambi unakutana na MPone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…