Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #41
Haikusemwa, ili awe role model wa mabintiHuyu mtu pia nilimuona kipindi cha ujenzi, afanya shughuri gani huko Dari salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haikusemwa, ili awe role model wa mabintiHuyu mtu pia nilimuona kipindi cha ujenzi, afanya shughuri gani huko Dari salama
Sawa pongezi kwake kwa kuwa na hiyo akili ya kuwekeza kwenye nyumba.Anaweza kuwa 22 Hadi 26
Hahaa hapa umekiri mwenyewe ni kama vinyonga.Alikuwa na kipini puani, Sema nini, sura za wanawake Kama vinyonga. Hivyo sibishi au kukubali
BTW video na picha ni tofauti, picha unaweza uka edit utakavyo ila video ina limit kiasi flani hasa kwa camera zetu za kibongo za 1K.Sasa nadhibitsha sio huyu, yule sio Mrembo hivi. Ni wa kawaida Sana tu.
Kuna wanawake ni smart sana sana..wappo wengi tu...ntakicheki hicho kipindiNimeangalia kipindi cha Ujenzi EATV nikamuona dada mdogo kiumri akiwa tayari kashajenga nyumba tatu Kubwa jijini Dar.
Anadai yeye huwa hapendi Sana starehe ila starehe yake ni kujenga nyumba nzurinzuri. Kisa cha kuja hapa ni umri wake na vitu anavyomiliki.
Bahati mbaya Mtangazaji wa kipindi hicho cha ujenzi Basilisa John hakumuuliza Siri ya mafanikio yake ili wanawake wengine wajitume pia. Hakuulizwa jina pia, zaidi ni kuonesha tu mijengo yake.
Japo Sina uhakika, Anaonekana hajaolewa. aaaaaaaaaahhhhhhh
Hata hafanani na yule dada labda Kama kapungua mwili ,Ila picha haiji kabisaKuna watu wanarusha picha sio zake humu. Nimeingia You tube sijaona video zake.
Mbaya zaidi nilimuona akikuzuia usimpige pichaBahati mbaya Mtangazaji wa kipindi hicho cha ujenzi Basilisa John hakumuuliza Siri ya mafanikio yake.
AmenAzidi kubarikiwa na kuongezewa maradufu!
Hakuna danga wa kujenga mijumba mikubwa hivyoUsimwamini sana mwanamke. Anaweza kuwa na madanga
Sio kazima lijenge, linaweza kusukuma biashara, linaweza kukulea ukabaki na saving kubwa. Kwa vile ni JF mtaipata habari nzima humuHakuna danga wa kujenga mijumba mikubwa hivyo
Umeonaee?Hata angeulizwa siri ya mafanikio asingesema ukweli. Na kama angesema ukweli basi ni huu huu ambao wengine wamejaribu na wameshindwa vibaya.
Mnhh..Huyo hapo fanya kumtafuta mkuuView attachment 2659640
Pesa haramuAchunguzwe vyanzo vya mapato yake. Huenda ni muuza unga .
every 3Haya twende, Logically/Practically Je Dada mwenye miaka 22-26(tuweke hio maximum 26 iliyotajwa) anaweza kumiliki nyumba hizo tajwa au laa?
Mnhh.. mbona anaogopesha..Zoom hiyo utakutana na kipini View attachment 2659646
Every 30every 3