Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utoto .Daaah kweli kazi zimekwisha kijana wa kiume unamchunguza binti? Full kumfungulia uzi kabisa
"Kweli Dunia ina mambo kama wasemavyo watu pori" mwisho wa kunukuuKate milaya aliyezaa na mwamposa eenh
Ila jf...!![emoji23][emoji23]Huyu mtu pia nilimuona kipindi cha ujenzi, afanya shughuri gani huko Dari salama
Ndiyo maana nikaanzisha mada, Nahisi ni urithi.Haya twende, Logically/Practically Je Dada mwenye miaka 22-26(tuweke hio maximum 26 iliyotajwa) anaweza kumiliki nyumba hizo tajwa au laa?
Kate milaya aliyezaa na mwamposa eenh
Kwa maisha yetu ya kibongo,kuweza kumiriki nyumba tatu za thamani ya 60+Milioni,tena ukiwa at 35+,ni wachache sana,umalize shule update ajira yq kukulipa 2.5M+,hizo ajira ni chache sana,Nimeangalia kipindi cha Ujenzi EATV nikamuona dada mdogo kiumri akiwa tayari kashajenga nyumba tatu Kubwa jijini Dar.
Anadai yeye huwa hapendi sana starehe ila starehe yake ni kujenga nyumba nzurinzuri. Kisa cha kuja hapa ni umri wake na vitu anavyomiliki.
Bahati mbaya Mtangazaji wa kipindi hicho cha ujenzi Basilisa John hakumuuliza siri ya mafanikio yake ili wanawake wengine wajitume pia. Hakuulizwa jina pia, zaidi ni kuonesha tu mijengo yake.
Japo Sina uhakika, Anaonekana hajaolewa. Aaaaaaaaaahhhhhhh
Jina liliwekwa mkuu kama sikosei ni kate..au mama zuri nyumba ipo goba uzurinikabla ya interview, interviewee huwa anapewa haki ya kuopt maswali ambayo hapendi kuulizwa. Nadhani mambo ya source of her income n her name yalikua ni mambo ambayo hakupenda kuyaweka wazi.
Huyu ni mke wa jamaa anaishi dubengaHuyo hapo fanya kumtafuta mkuuView attachment 2659640
🤣🤣Hakuuliza jina nawe umesahau kutuwekea picha mkuu
🤣🤣🤣Kumbe....ndo yupo kutumia sadaka zetu za kujimaliza!?Kate milaya aliyezaa na mwamposa eenh
Anaitwa ZuriNimeangalia kipindi cha Ujenzi EATV nikamuona dada mdogo kiumri akiwa tayari kashajenga nyumba tatu Kubwa jijini Dar.
Anadai yeye huwa hapendi sana starehe ila starehe yake ni kujenga nyumba nzurinzuri. Kisa cha kuja hapa ni umri wake na vitu anavyomiliki...