Huyu mwanadada mdogo ila tajiri sana, ulevi wake upo katika ujenzi wa majumba

Alikuwa na kipini puani, Sema nini, sura za wanawake Kama vinyonga. Hivyo sibishi au kukubali
Hahaa hapa umekiri mwenyewe ni kama vinyonga.
Sasa nadhibitsha sio huyu, yule sio Mrembo hivi. Ni wa kawaida Sana tu.
BTW video na picha ni tofauti, picha unaweza uka edit utakavyo ila video ina limit kiasi flani hasa kwa camera zetu za kibongo za 1K.
 
Kuna wanawake ni smart sana sana..wappo wengi tu...ntakicheki hicho kipindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…