Huyu mwanadada mdogo ila tajiri sana, ulevi wake upo katika ujenzi wa majumba

Kwa maisha yetu ya kibongo,kuweza kumiriki nyumba tatu za thamani ya 60+Milioni,tena ukiwa at 35+,ni wachache sana,umalize shule update ajira yq kukulipa 2.5M+,hizo ajira ni chache sana,
Kwa uzoefu wangu,kwenye industry Moja maarufu,salary zilikua ndogo sana miaka hiyo ya 2000,ila wizi kwenye industry ulikuwa mkubwa sana,vijana walitqjirika sio kwa salary au mikopo Bali wizi!
Magsri,majumba,walijenga wengine waliamua kuwa na totoz TU,mpaka sie tunaingia 2006+,watu walikuwa wameishatsjirika,industry ikawa ngumu 2010+,hapo aliyekuwa hajajenga ndio imetoka hiyo,ikirudi pancha!!wazee wangu wengine ndio ikawa chaliiii kabisa,wamekuwa mafukara,waliosoma alama za nyakati Sasa hv ni madingi 56+,wanamiriki makampuni na wametoa ajira kwa machalii kibao,ila wizi ndio hakuna tena,ni kuishi kwa salary TU,
Mzungu mchawi
 
kabla ya interview, interviewee huwa anapewa haki ya kuopt maswali ambayo hapendi kuulizwa. Nadhani mambo ya source of her income n her name yalikua ni mambo ambayo hakupenda kuyaweka wazi.
 
Jamii forum kiboko...kwa bahati mbaya niliangalia hicho kipindi juz anavyo hojiwa..aloo nilijichukia haswa...nilizima tv kwa hasira afu nikajiuliza hata kama ni bahati kwa thaman ya lile jumba na bado halijaisha na bado akaongezea anazo tatu...dah binafsi nilijiuliza na hasira za kufanya jambo la pesa ming likanijia kwa haraka bt atleast nimepata infos zake kidogo humu pressure imepungua bt tupambane kila kitu kinawezekana
 
Anaitwa Zuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…