Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,735
- 8,541
Hizo pua no sawa katika angle tofauti.Tofautii kabisa....angalia pua zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo pua no sawa katika angle tofauti.Tofautii kabisa....angalia pua zao
Hao ni watu 2 tofautii kabisaaHizo pua no sawa katika angle tofauti.
😀 😀 👉 😳Muuza madafu katika Moja na mbili😊
View attachment 2974867
View attachment 2974817
View attachment 2974865
Kwa hoja hiyo haupo sahihi, picha zimepigwa kwa angle na camera tofauti..Tofautii kabisa....angalia pua zao
Wewe hata mumeo akikunyima utamsingizia jiwe!Huu pia ulikuwa usanii wa Jiwe na ndio muasisi wa hizi siasa za kijinga za kutafuta popularity.
Katuharibia sana nchi, ukweli lazima usemwe.Wewe hata mumeo akikunyima utamsingizia jiwe!
Tujipe muda Captain ataenda waoige picha wakiwa 2 ...tutaishia kubishia hizo picha again....Kwa hoja hiyo haupo sahihi, picha zimepigwa kwa angle na camera tofauti..
Wabongo wanaenda na trend, wana ignore uhalisiaNa mashavu pia. Total different.
Kwa Akili zako Komandoo hawezi kuuza madafu au Muuza madafu Ndio hawezi kuwa Komandoo? 🐼Captain ataenda kupiga nae picha ili kelele ziisheee....ujinga wetu uwe waziii
Uliwahi kuona Komandoo anahutubia Uwanjani?! 🐼Wabongo wanaenda na trend, wana ignore uhalisia
Wewe unanijua mm? Huo mtego wako sintakujibu milele....!!Kwa Akili zako Komandoo hawezi kuuza madafu au Muuza madafu Ndio hawezi kuwa Komandoo? 🐼
Kwa hili tunakosea sana sababu watu Hawa ni muhimu sana Tena Sana kwa taifa letu. Baada ya pale kwenye madafu Basi. Wasingemuweka kwenye maonyesho haya na mpaka anahutubia sidhani Kama ni sawa maana watu walishamuona kwenye madafu na magazetini aliandikwa na picha na mahojiano. Kiusalama na kwa usiri wa idara yetu ya ujasusi angeishia pale tu kwenye madafu. Ili aendelee kutumikia idara bila kujulikana.Hapa ndio utaelewa kwa nini siri nyingi zinamfikia Mange Kimambi Yani mtu kama huyu tusingepaswa tumuone tena sababu ni Jasusi na watu walishaanza kumtambua kitambo eti ooh na yy anatudanganya kwa Ayo Tv hakuamin kama mama na Ikulu wangempa mwaliko😂😂😂 waanike masiri yao tu tuwajue na watu wao na kuna wengine tunakunywaga nao bia huko wanavimba wametoka geti Jeusi Sasa Unyeti wa Idara Uko wapi?
Umemsahau wa mapapai yule alimuuzia na yeye 😀Sijakataa suala ni kwamba wanawa expose sana na wakati inabid iwe kimya kimya kama yule jamaa alielichomea Jiwe Mahindi na Mwingine akampa Jogoo 😂😂😂 yani ni mixer Orijino Komedi Swali Ushawaona KBG au CIA wanafanya huu ukanjanja kwetu ndo kuna bongo movie
Wawe wanakumbuka kubadilisha casts basi.hiii nchi ina maigizo sana aise
Etwege ni chawa wa dhalim Magufuli😂😂😂mkuu nikisema hivyo namkumbuka dada wa taifa hajaamka kukojoa kupambana na machawa wa mama km kina #Etwege
Amna hizo kazi za Askari sio officerAkitoka hapo anaoga fresh anakula mema ya nchi.