Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Captain ataenda kupiga nae picha ili kelele ziisheee....ujinga wetu uwe waziii
 
Kuanzia Leo naanza kuwaogopa mpaka maboda boda🤣🤣
 
Hapa ndio utaelewa kwa nini siri nyingi zinamfikia Mange Kimambi Yani mtu kama huyu tusingepaswa tumuone tena sababu ni Jasusi na watu walishaanza kumtambua kitambo eti ooh na yy anatudanganya kwa Ayo Tv hakuamin kama mama na Ikulu wangempa mwaliko😂😂😂 waanike masiri yao tu tuwajue na watu wao na kuna wengine tunakunywaga nao bia huko wanavimba wametoka geti Jeusi Sasa Unyeti wa Idara Uko wapi?
Kwa hili tunakosea sana sababu watu Hawa ni muhimu sana Tena Sana kwa taifa letu. Baada ya pale kwenye madafu Basi. Wasingemuweka kwenye maonyesho haya na mpaka anahutubia sidhani Kama ni sawa maana watu walishamuona kwenye madafu na magazetini aliandikwa na picha na mahojiano. Kiusalama na kwa usiri wa idara yetu ya ujasusi angeishia pale tu kwenye madafu. Ili aendelee kutumikia idara bila kujulikana.
 
Toka siku ya kwanza mbona ilikuwa wazi hii, rais ajiachie vile na wauza madafu? Au muuza madafu asogelee ikulu pale, sio rahisi.
 
Sijakataa suala ni kwamba wanawa expose sana na wakati inabid iwe kimya kimya kama yule jamaa alielichomea Jiwe Mahindi na Mwingine akampa Jogoo 😂😂😂 yani ni mixer Orijino Komedi Swali Ushawaona KBG au CIA wanafanya huu ukanjanja kwetu ndo kuna bongo movie
Umemsahau wa mapapai yule alimuuzia na yeye 😀
 
Back
Top Bottom