Huyu mwanamke ana sonona. Msaada wakuu

Huyu mwanamke ana sonona. Msaada wakuu

Kama namuona mwanamke akimrudia mmewe, wala hatakumbuka mabaya...

Ni ngumu kushauri kwa watu waliopendana...
 
Inategemea hilo kosa la abandon amelifanya mara ngapi, kama ni mara ya kwanza amsamehe, ampe chance ya wao kulea watoto pamoja.

Lakini asiache kupambana na kazi zake kulea watoto wake sababu once mtu akikuabandon pengine akafanya hivyo tena.

Kuna watu wana spirit ya mahangaiko na mizururo. Na anaweza kumsamehe huyo baba akabadilika wakalea watoto wao hadi mwisho wa maisha yao, its a game of chance and uncertainties.
Halafu sijui kwanini wanaume wengi waliotelekeza familia zao huwa wanarudi wakifilisika tu, ila wengi wakifanikiwa hutaona wakirudi kuomba msamaha kusema naomba turudiane tulee watoto huu ni ubinafsi wa hali ya juu sana, bila shaka huyo mwanaume karudi hapo kuzeeka tu baada ya kuona asije akaumwa uzeeni akakosa wa kumhudumia
 
Kiswahili kigumu sana. Anamaanisha mume aliondoka mke akiwa na mtoto wa miezi 9 huku mwingine miaka 3
wamwisho (miezi 9), wakati huo mtoto wa pili (3)

Mume wake aliondoka miaka 5 iliyopita,
We

Yan mtoto wa mwisho ana miezi tisa halafu baba wa huyo mtoto aliondoka miaka mitano iliyopita kwa hiyo hiyo mimba ilitumwa kwenye what's app?🤣
 
Mwanaume kaondoka miaka mitano iliyopita mtoto wa mwisho ana miezi.

Kwamba wakati anaondoka mtoto wa mwisho alikuwa na miezi mitano, ikimaanisha leo mtoto wa mwisho atakuwa na miaka mitano na miezi mitano...
 
Anawatoto watano sasa. Mume wake aliondoka miaka 5 iliyopita, akaacha watoto watano: wamwisho (miezi 9), wakati huo mtoto wa pili (3) kutoka mwisho anaumwa (Athma).

Mwanaume akaondoka kachukua mke wa watu kijiji jirani wakaenda Katavi. Hakuwasiliana na familia yake muda wote akiwa Katavi.

Mwanamke aliishi kwa Vibarua vya Shambani na wanae... akajikaza akalima akapata, akaendelea kusomesha wanaye.

Baada ya miaka 5 mume amerudi anaomba asamehewe waendelee na maisha!

Wakuu nini cha kufanya kwa huyu mwanamke?
Qumamamake huyo msenge ni wa kutia jela maisha
 
Inategemea hilo kosa la abandon amelifanya mara ngapi, kama ni mara ya kwanza amsamehe, ampe chance ya wao kulea watoto pamoja.

Lakini asiache kupambana na kazi zake kulea watoto wake sababu once mtu akikuabandon pengine akafanya hivyo tena.

Kuna watu wana spirit ya mahangaiko na mizururo. Na anaweza kumsamehe huyo baba akabadilika wakalea watoto wao hadi mwisho wa maisha yao, its a game of chance and uncertainties.
Mawazo yako yaheshimiwe. Ila kama sisi me tunavyosema kuwa ke akichit hatakiwi kusamehewa, nami nasema huyu msenge si wa kusamehe. Ni wa kupiga chini tu
 
Halafu sijui kwanini wanaume wengi waliotelekeza familia zao huwa wanarudi wakifilisika tu, ila wengi wakifanikiwa hutaona wakirudi kuomba msamaha kusema naomba turudiane tulee watoto huu ni ubinafsi wa hali ya juu sana, bila shaka huyo mwanaume karudi hapo kuzeeka tu baada ya kuona asije akaumwa uzeeni akakosa wa kumhudumia
Kwamba amerudi kuzeeka zake! 😂
 
Me ni mwanaume lkn sjafurahishwa na hiki kitendo.
Huyu mama kanieleza haya yote kama mwanae kabisa akihitaji Ushauri...

Nikamwomba niwashirikishe watu wengine walio na experiences maana me sijaoa. Ili tupate mawazo mengi na mazuri akakubali.
Hivyo, nikaamua kuwaletea ninyi wakuu nikijua tutafanikiwa kumsaidia huyu mama...

Ukweli kateseka sana kwa muda wote amejitunza: hajaingia barabaran kutafta wanaume kama wengine wanavofanya.

Kawatunza wanae wote, katika maadili mazuri, maendeleo yao shuleni ni mazuri mno.
Kiufupi ni mwanamke Shupavu.

Nawashukuruni sana wote kwa msaada wenu.
 
We

Yan mtoto wa mwisho ana miezi tisa halafu baba wa huyo mtoto aliondoka miaka mitano iliyopita kwa hiyo hiyo mimba ilitumwa kwenye what's app?🤣
Wakuu wa kazi muwe mnasoma na kuelewa.
 
Mkiambiwa muache kula sana vyakula vya wanga mnaona mnaonewa, sasa kitu kipo wazi kabisa huyo fedhuli aliondoka miaka mitano iliyopita akaacha watoto watano, wa mwisho akiwa ana miezi 9, wa pili kutoka mwisho alikua ana miaka mitatu na mwenye asthma(pumu) ugumu uko wapi hapo wa kuelewa,

Kurudi kwenye mada, huyo mama kama amekutuma umuombee ushauri basi bado anamtaka mumewe, kwa aliyofanyiwa wala hakua na sababu ya kuomba ushauri.
Upo sahihi kwa kila ulichoandika.
 
Back
Top Bottom