Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DUUUHwamwisho (miezi 9), wakati huo mtoto wa pili (3)
Mume wake aliondoka miaka 5 iliyopita,
Halafu sijui kwanini wanaume wengi waliotelekeza familia zao huwa wanarudi wakifilisika tu, ila wengi wakifanikiwa hutaona wakirudi kuomba msamaha kusema naomba turudiane tulee watoto huu ni ubinafsi wa hali ya juu sana, bila shaka huyo mwanaume karudi hapo kuzeeka tu baada ya kuona asije akaumwa uzeeni akakosa wa kumhudumiaInategemea hilo kosa la abandon amelifanya mara ngapi, kama ni mara ya kwanza amsamehe, ampe chance ya wao kulea watoto pamoja.
Lakini asiache kupambana na kazi zake kulea watoto wake sababu once mtu akikuabandon pengine akafanya hivyo tena.
Kuna watu wana spirit ya mahangaiko na mizururo. Na anaweza kumsamehe huyo baba akabadilika wakalea watoto wao hadi mwisho wa maisha yao, its a game of chance and uncertainties.
wamwisho (miezi 9), wakati huo mtoto wa pili (3)
Mume wake aliondoka miaka 5 iliyopita,
We
Yan mtoto wa mwisho ana miezi tisa halafu baba wa huyo mtoto aliondoka miaka mitano iliyopita kwa hiyo hiyo mimba ilitumwa kwenye what's app?🤣
YeahAendelee na kilimo
SanaAsikubali kumrudia atateseka sana
Mwanaume kaondoka miaka mitano iliyopita mtoto wa mwisho ana miezi.
JF ina watu wasioelewa kumbe!wamwisho (miezi 9), wakati huo mtoto wa pili (3)
Mume wake aliondoka miaka 5 iliyopita,
Qumamamake huyo msenge ni wa kutia jela maishaAnawatoto watano sasa. Mume wake aliondoka miaka 5 iliyopita, akaacha watoto watano: wamwisho (miezi 9), wakati huo mtoto wa pili (3) kutoka mwisho anaumwa (Athma).
Mwanaume akaondoka kachukua mke wa watu kijiji jirani wakaenda Katavi. Hakuwasiliana na familia yake muda wote akiwa Katavi.
Mwanamke aliishi kwa Vibarua vya Shambani na wanae... akajikaza akalima akapata, akaendelea kusomesha wanaye.
Baada ya miaka 5 mume amerudi anaomba asamehewe waendelee na maisha!
Wakuu nini cha kufanya kwa huyu mwanamke?
Mawazo yako yaheshimiwe. Ila kama sisi me tunavyosema kuwa ke akichit hatakiwi kusamehewa, nami nasema huyu msenge si wa kusamehe. Ni wa kupiga chini tuInategemea hilo kosa la abandon amelifanya mara ngapi, kama ni mara ya kwanza amsamehe, ampe chance ya wao kulea watoto pamoja.
Lakini asiache kupambana na kazi zake kulea watoto wake sababu once mtu akikuabandon pengine akafanya hivyo tena.
Kuna watu wana spirit ya mahangaiko na mizururo. Na anaweza kumsamehe huyo baba akabadilika wakalea watoto wao hadi mwisho wa maisha yao, its a game of chance and uncertainties.
Inaonekana maana ana uchungu kweliYeye mwanamke ndio mwamuzi wa mwisho huwez jua alikuwa anakunwaje au ulijimilikisha Jimbo baada ya jamaa kuondoka?
Kwamba amerudi kuzeeka zake! 😂Halafu sijui kwanini wanaume wengi waliotelekeza familia zao huwa wanarudi wakifilisika tu, ila wengi wakifanikiwa hutaona wakirudi kuomba msamaha kusema naomba turudiane tulee watoto huu ni ubinafsi wa hali ya juu sana, bila shaka huyo mwanaume karudi hapo kuzeeka tu baada ya kuona asije akaumwa uzeeni akakosa wa kumhudumia
Wakuu wa kazi muwe mnasoma na kuelewa.We
Yan mtoto wa mwisho ana miezi tisa halafu baba wa huyo mtoto aliondoka miaka mitano iliyopita kwa hiyo hiyo mimba ilitumwa kwenye what's app?🤣
Upo sahihi kwa kila ulichoandika.Mkiambiwa muache kula sana vyakula vya wanga mnaona mnaonewa, sasa kitu kipo wazi kabisa huyo fedhuli aliondoka miaka mitano iliyopita akaacha watoto watano, wa mwisho akiwa ana miezi 9, wa pili kutoka mwisho alikua ana miaka mitatu na mwenye asthma(pumu) ugumu uko wapi hapo wa kuelewa,
Kurudi kwenye mada, huyo mama kama amekutuma umuombee ushauri basi bado anamtaka mumewe, kwa aliyofanyiwa wala hakua na sababu ya kuomba ushauri.