Huyu mwanamke ana sonona. Msaada wakuu

Huyu mwanamke ana sonona. Msaada wakuu

Anawatoto watano sasa. Mume wake aliondoka miaka 5 iliyopita, akaacha watoto watano: wamwisho (miezi 9), wakati huo mtoto wa pili (3) kutoka mwisho anaumwa (Athma).

Mwanaume akaondoka kachukua mke wa watu kijiji jirani wakaenda Katavi. Hakuwasiliana na familia yake muda wote akiwa Katavi.

Mwanamke aliishi kwa Vibarua vya Shambani na wanae... akajikaza akalima akapata, akaendelea kusomesha wanaye.

Baada ya miaka 5 mume amerudi anaomba asamehewe waendelee na maisha!

Wakuu nini cha kufanya kwa huyu mwanamke?
Akimsamehe halafu wakarudiana tena atakuwa hana tofauti na wale wehu….
Lakini atakuwa hana tofauti na magaidi ya kule Hamas maana ndio yana roho ngumu!
Mwambie amsamehe lakini wasirudiane tena na wakae mbali kabisa abaki kuwa baba tuu!
 
Inategemea hilo kosa la abandon amelifanya mara ngapi, kama ni mara ya kwanza amsamehe, ampe chance ya wao kulea watoto pamoja.

Lakini asiache kupambana na kazi zake kulea watoto wake sababu once mtu akikuabandon pengine akafanya hivyo tena.

Kuna watu wana spirit ya mahangaiko na mizururo. Na anaweza kumsamehe huyo baba akabadilika wakalea watoto wao hadi mwisho wa maisha yao, its a game of chance and uncertainties.
Bila kujali ni mara ngapi au mazingira au kosa gani huyo mwehu hatakiwi kuwa karibu na huyo mama kabisa maana atamuumiza tena! Mtu anaondoka miaka mitano maisha yanamshida ataka apewe huruma ya msamaha? Hapana na huyo mama akikubali kumrudia huyo mwehu lazima atakimbia tena! Kumsaidia huyo mwehu ni kumsamehe lakini akae mbali abaki kuwa baba akitaka kusaidia asaidie asipotaka basi!

Na kati ya kitu ninacho kichukia kuhusu wanawake ni kuwa na huruma kupitiliza yani jinga kama hilo linarudi na mtu asivyo na akili atalisamehe na analipa na papuchi…..

Huyo mwehu alitakiwa kusamehewa kama amerudi ni kiwete,kipofu au ana stroke …kinyume na hapo ni kujaribu kutenda miujiza lazima alizwe tena

Wanawake wengi mnaumizwa kwa kujifanya watenda miujiza yani mtu kakukimbia miaka mitano na bado anakuja kukudanganya kuwa amebadilika hatorudia na wewe unataka kuamini kabisa!
 
Kwamba amerudi kuzeeka zake! 😂
Hahaha unadhani wana maana basi hawa, tushayasikia sana haya mtu anarudi kwa sababu tu ya kuogopa ile kauli ya "fainali uzeeni", wakishafilisiwa Pesa zote na mahawara kisha wakakimbiwa ndio wanajirudisha kwa wake zao ila wakifanikiwa huko hutaona wakirudi 😀😀
 
Bila kujali ni mara ngapi au mazingira au kosa gani huyo mwehu hatakiwi kuwa karibu na huyo mama kabisa maana atamuumiza tena! Mtu anaondoka miaka mitano maisha yanamshida ataka apewe huruma ya msamaha? Hapana na huyo mama akikubali kumrudia huyo mwehu lazima atakimbia tena! Kumsaidia huyo mwehu ni kumsamehe lakini akae mbali abaki kuwa baba akitaka kusaidia asaidie asipotaka basi!

Na kati ya kitu ninacho kichukia kuhusu wanawake ni kuwa na huruma kupitiliza yani jinga kama hilo linarudi na mtu asivyo na akili atalisamehe na analipa na papuchi…..

Huyo mwehu alitakiwa kusamehewa kama amerudi ni kiwete,kipofu au ana stroke …kinyume na hapo ni kujaribu kutenda miujiza lazima alizwe tena

Wanawake wengi mnaumizwa kwa kujifanya watenda miujiza yani mtu kakukimbia miaka mitano na bado anakuja kukudanganya kuwa amebadilika hatorudia na wewe unataka kuamini kabisa!
Your message hits harder man!
 
Inategemea hilo kosa la abandon amelifanya mara ngapi, kama ni mara ya kwanza amsamehe, ampe chance ya wao kulea watoto pamoja.

Lakini asiache kupambana na kazi zake kulea watoto wake sababu once mtu akikuabandon pengine akafanya hivyo tena.

Kuna watu wana spirit ya mahangaiko na mizururo. Na anaweza kumsamehe huyo baba akabadilika wakalea watoto wao hadi mwisho wa maisha yao, its a game of chance and uncertainties.
Miaka mitano bila huduma yoyote na mtoto mmoja ana athma, huyo ni mnyanyasaji hafai kusamehewa hakuna mwanaume hapo, yani katika hyo miaka mitano ata wangekufa wote yeye angekuja kujua baada ya miaka mi5 hapana asimrudie mpuuzi huyo inaweza kua worse. Tena alikimbia na mke wa mtu 🤮🤮 akacheze anapochezaga
 
Miaka mitano bila huduma yoyote na mtoto mmoja ana athma, huyo ni mnyanyasaji hafai kusamehewa hakuna mwanaume hapo, yani katika hyo miaka mitano ata wangekufa wote yeye angekuja kujua baada ya miaka mi5 hapana asimrudie mpuuzi huyo inaweza kua worse. Tena alikimbia na mke wa mtu 🤮🤮 akacheze anapochezaga
Mungu anisaidie mimi mja wake nisipigwe matukio na hii dunia, maana nina roho very soft. Nina tatizo la kushindwa kuwa na chuki. Team samehe 7*70.

Anyways nisiseme sana maana naweza pigwa na kitu kizito nikageuka monster 👺
 
Mungu anisaidie mimi mja wake nisipigwe matukio na hii dunia, maana nina roho very soft. Nina tatizo la kushindwa kuwa na chuki. Team samehe 7*70.

Anyways nisiseme sana maana naweza pigwa na kitu kizito nikageuka monster 👺
I'll keep u in my prayers mama paroko 😂😂

Siku nikikuona umekua monster ntakukumbusha enzi hizi una upako full
 
I'll keep u in my prayers mama paroko 😂😂

Siku nikikuona umekua monster ntakukumbusha enzi hizi una upako full
You better maana……

Hiyo siku ya kunikumbusha naikemea kwa Jina la Yesu, isinifike kwa kweli 😂😂😂
 
Mungu anisaidie mimi mja wake nisipigwe matukio na hii dunia, maana nina roho very soft. Nina tatizo la kushindwa kuwa na chuki. Team samehe 7*70.

Anyways nisiseme sana maana naweza pigwa na kitu kizito nikageuka monste
 
Good trait. Inakuepusha na Madhara ya Kisaikolojia kama Sonona.
Unaposamehe unakuwa Huru.
Keep it up.
 
Mungu anisaidie mimi mja wake nisipigwe matukio na hii dunia, maana nina roho very soft. Nina tatizo la kushindwa kuwa na chuki. Team samehe 7*70.

Anyways nisiseme sana maana naweza pigwa na kitu kizito nikageuka monster 👺
Hii ni nzuri sana dada Mungu akusaidie.
 
Amsamehe TU aendelee na maisha,wanasamehewa wasaliti,wazaa nje sembuse ishu ndogo hio.
Afanye TU kama alikuwa jela,mwanampotevu karudi furaha ya familia iongezeke.
 
Kanda ya ziwa kuna changamoto kubwa sana linapokuja suala la mahusiano/mapenzi
 
Ukute jamaa alikuwa na tango sasa limeisha na kuwa kipenseli ndiyo anarudi!
 
Back
Top Bottom