Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ndo mke sasa akomae hapo hapo.Mume, amka zako kama unaenda job beba nguo....tokomea huko muache abaki anadate mwenyewe.
Ndyo nini huko kijijiniKataa ndoa...🤨
Eti onhoo Nina mpenzi wangu....mpenzi wa nyokwee ulifata nn kwa dada wa watuWamezoa vya kinyonga,safari hii Kakutana na vya kuchinja😁
Mke kaamua ajiozeshe....Huyo ndo mke sasa akomae hapo hapo.
😅😅😅 kofi la mgongo
🤣🤣🤣🤣Hapo keshamfirigisaa eti Nina mpenzi wangu NampendaEti onhoo Nina mpenzi wangu....mpenzi wa nyokwee ulifata nn kwa dada wa watu
Kwel upo Kama Mimi Ni Bora kuacha KUTONGOZA INNOCENT WOMEN kwa kuwadanganya kua mtafanya nae Maisha unakuta mwanamke anaweka moyo then end of time unamletea miyeyusho..Ninachomshangaa kafika nae mpaka anastuka baadae ya mwanamke kuchange tabia....ina maana demu angeendelea kuwa mpole mimba angepata na jamaa angestuka haaa hii si mimba hii.
Kuna baadhi ya wanawake Si watu wa kubeep huwa naogopa sana kuokoto okota namba hata sehemu za Kazi.
Unajua basi tu wanaume hatujui shida zingine tunasababisha wenyewe baadae tunajifanya wababe kipuuzi
Sio makofi ya hivo mkuu....
Unakuta umelala usiku unakoloma kumbe mtu ameshika simu na ameona notification(hii ata kama simu inalock),mara unasikia paa kofi zito la mgongo unaamka unakutana na simu usoni,huyu nani.
Kaka napitia wakati mgumu sana.
Hahaha... Hivi kumbe mwanaume sometimes unaweza kuoa bila kujijua.Tuliongea vizuri hiyo siku tukabadilishana namba,kesho yake tuliongea vizuri zaidi kwa njia ya simu tukapanga kukutana,sikuwaza sana kuhusu mazingira ama eneo la kukutana nikamwambia aje kwangu nae hakusita akakubali.
Kweli kesho ingine jioni mida ya saa kumi na mbili alifika kwangu tukapata chakula pamoja tukafurahi tukalana kisawa sawa mpaka mida ya saa nne usiku.nikajaribu kumwambia kuhusu kumpigia dereva wangu wa tax amrudishe,manzi akasema sio mbaya ata akilala kwa siku hiyo moja kwani sijapenda kampani yake?mwanaume nikasema aah! kulala tu sio big deal sana lala tu mama i real appreciate your company
Wanakuwa wazuri sana. Kwa sababu wana manisha.
Huyo dada hana baya sema mshikaji ndio hasomeki
Innocent wengine sio kuchezea Pindi ukitibua mtungi....ndo yaliyomkuta mtoa mada. Huyu jamaa kanishangaza in week unachonga funguo ya ziada na chemba ya kibubu kamwonyesha asee....kuna dada humu kaandika ndo hiyo pesa aliyotoa karogwa nayo hiyo hiyo.Kwel upo Kama Mimi Ni Bora kuacha KUTONGOZA INNOCENT WOMEN kwa kuwadanganya kua mtafanya nae Maisha unakuta mwanamke anaweka moyo then end of time unamletea miyeyusho..
Mara Mia Bora hata kuwa HIT & RUN😊😊😊
Zile laki tatu na 50, pesa yake mwenyeweInnocent wengine sio kuchezea Pindi ukitibua mtungi....ndo yaliyomkuta mtoa mada. Huyu jamaa kanishangaza in week unachonga funguo ya ziada na chemba ya kibubu kamwonyesha asee....kuna dada humu kaandika ndo hiyo pesa aliyotoa karogwa nayo hiyo hiyo.
Kuna hit n run zingine unaona kabisa hapa napiga jeki natoa front excel na rear differential, cabin nauza nabaki na engine tu (Moyo) nizeeke nae kabisa 🤣🤣
Ndo maana yake...na Wewe unaona uzito kumshauri huyu mwenzetu 🤣🤣Zile laki tatu na 50, pesa yake mwenyewe
Jamaa alitakiwa a apply HIT & RUN tatizo jamaa Ni good behave SANAInnocent wengine sio kuchezea Pindi ukitibua mtungi....ndo yaliyomkuta mtoa mada. Huyu jamaa kanishangaza in week unachonga funguo ya ziada na chemba ya kibubu kamwonyesha asee....kuna dada humu kaandika ndo hiyo pesa aliyotoa karogwa nayo hiyo hiyo.
Kuna hit n run zingine unaona kabisa hapa napiga jeki natoa front excel na rear differential, cabin nauza nabaki na engine tu (Moyo) nizeeke nae kabisa 🤣🤣