Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Ninachomshangaa kafika nae mpaka anastuka baadae ya mwanamke kuchange tabia....ina maana demu angeendelea kuwa mpole mimba angepata na jamaa angestuka haaa hii si mimba hii.

Kuna baadhi ya wanawake Si watu wa kubeep huwa naogopa sana kuokoto okota namba hata sehemu za Kazi.

Unajua basi tu wanaume hatujui shida zingine tunasababisha wenyewe baadae tunajifanya wababe kipuuzi
Kwel upo Kama Mimi Ni Bora kuacha KUTONGOZA INNOCENT WOMEN kwa kuwadanganya kua mtafanya nae Maisha unakuta mwanamke anaweka moyo then end of time unamletea miyeyusho..

Mara Mia Bora hata kuwa HIT & RUN😊😊😊
 
Sio makofi ya hivo mkuu....

Unakuta umelala usiku unakoloma kumbe mtu ameshika simu na ameona notification(hii ata kama simu inalock),mara unasikia paa kofi zito la mgongo unaamka unakutana na simu usoni,huyu nani.

Kaka napitia wakati mgumu sana.

Umempa mwenyewe hiyo nguvu ya kukutawala
Jikaze bhana,safari yakp bado ndefu sana
 
Ongea na wanawake usiku kucha usimpe mda.

Kwanza ebu subir, utashangaa unaomba ushaur um na kila siku unacheza nae domeka, atamim nisingeondoka yan unipe huduma zote muhim kama mke,🖐🏾nehiii
 
  • Umetekwa! Vijana wa siku hizo bhana!
  • Kuna jamaa yangu aliwahi kuoa kwa staili inayokaribia yako, ila yele binti alikuwa mfanyakazi mwenzake, akavizia jamaa yupo mkoani kwao likizo, binti akajibeba moja kwa moja mpaka nyumbani kwa wazazi wa jamaa na zawadi kibao kwa mama mkwe mtarajiwa, aliwahi dadidisi njia. Mama mkwe akamwelewa binti, na mpaka sasa wana miaka 15 na watoto 3
 
Tuliongea vizuri hiyo siku tukabadilishana namba,kesho yake tuliongea vizuri zaidi kwa njia ya simu tukapanga kukutana,sikuwaza sana kuhusu mazingira ama eneo la kukutana nikamwambia aje kwangu nae hakusita akakubali.

Kweli kesho ingine jioni mida ya saa kumi na mbili alifika kwangu tukapata chakula pamoja
tukafurahi tukalana kisawa sawa mpaka mida ya saa nne usiku.nikajaribu kumwambia kuhusu kumpigia dereva wangu wa tax amrudishe,manzi akasema sio mbaya ata akilala kwa siku hiyo moja kwani sijapenda kampani yake?mwanaume nikasema aah! kulala tu sio big deal sana lala tu mama i real appreciate your company
Hahaha... Hivi kumbe mwanaume sometimes unaweza kuoa bila kujijua.
Utakuja kuibiwa vibaya sana wewe, mwanamke umekutana naye jana tu leo unaondoka unamwachia funguo ya vpili na kumwachia chumba?!!
Kwanza kwa huo ubishi wake na kuendelea kubaki kwako kwa confidence hivyo huyo ni mjanja sana, atakuja kukuadabisha vizuri siku si nyingi, ikiwemo kukuosha vitu vyote vya ndani.
 
Wanakuwa wazuri sana. Kwa sababu wana manisha.

Huyo dada hana baya sema mshikaji ndio hasomeki

Kwel upo Kama Mimi Ni Bora kuacha KUTONGOZA INNOCENT WOMEN kwa kuwadanganya kua mtafanya nae Maisha unakuta mwanamke anaweka moyo then end of time unamletea miyeyusho..

Mara Mia Bora hata kuwa HIT & RUN😊😊😊
Innocent wengine sio kuchezea Pindi ukitibua mtungi....ndo yaliyomkuta mtoa mada. Huyu jamaa kanishangaza in week unachonga funguo ya ziada na chemba ya kibubu kamwonyesha asee....kuna dada humu kaandika ndo hiyo pesa aliyotoa karogwa nayo hiyo hiyo.

Kuna hit n run zingine unaona kabisa hapa napiga jeki natoa front excel na rear differential, cabin nauza nabaki na engine tu (Moyo) nizeeke nae kabisa 🤣🤣
 
Innocent wengine sio kuchezea Pindi ukitibua mtungi....ndo yaliyomkuta mtoa mada. Huyu jamaa kanishangaza in week unachonga funguo ya ziada na chemba ya kibubu kamwonyesha asee....kuna dada humu kaandika ndo hiyo pesa aliyotoa karogwa nayo hiyo hiyo.

Kuna hit n run zingine unaona kabisa hapa napiga jeki natoa front excel na rear differential, cabin nauza nabaki na engine tu (Moyo) nizeeke nae kabisa 🤣🤣
Zile laki tatu na 50, pesa yake mwenyewe
 
Innocent wengine sio kuchezea Pindi ukitibua mtungi....ndo yaliyomkuta mtoa mada. Huyu jamaa kanishangaza in week unachonga funguo ya ziada na chemba ya kibubu kamwonyesha asee....kuna dada humu kaandika ndo hiyo pesa aliyotoa karogwa nayo hiyo hiyo.

Kuna hit n run zingine unaona kabisa hapa napiga jeki natoa front excel na rear differential, cabin nauza nabaki na engine tu (Moyo) nizeeke nae kabisa 🤣🤣
Jamaa alitakiwa a apply HIT & RUN tatizo jamaa Ni good behave SANA

Kuna mshikaji wangu enzi za ujana jamaa katili jamaa anachakata Mara mbili au tatu anamwambia demu TUSIJUANE.. Msela wangu katili Sana Ila ndio ametangaza ndoa anaoa miezi ijayo (coming soon)
 
Back
Top Bottom