Huyu mwanaume anaesifia kula chips twitter (x) ni nani Tanzania?

Huyu mwanaume anaesifia kula chips twitter (x) ni nani Tanzania?

Chuki ikizidi mtu anashindwa hata kuona kama hiyo post ni tangazo la biashara. Kama ni vyakula vyenye madhara nadhani katibu vyote yakiwemo maji pia. Ukitaka uwe salama kabisa usikumbane na vyakula hatarishi inabidi uhamie futi sita chini ya ardhi kwenye makazi yako ya milele.
mkuu mboja kama naww mla chips yai
 
Chips hazina tatizo kabisa kama mafuta yanayotumika yanatumika mara chache na yanaisha.

Hatari ya chips inakuwepo kama mafuta yanayotumika hasa kwenye biashara hayaishi yanaongezewa kila siku.

Unakuta mafuta machafu yaliyotumika siku nyingi au wiki kadhaa yapo Kwenye karai yanaongezewa tu hayamwagwi.

Hoteli kubwa chips ni special order ukifika ukiagiza viazi ndio vinamenywa halafu vinakaangwa.
Kwaiyo unaungana na huyu mwanaume wa dar
 
Wakati namaliza darasa la 4 mwaka 2018 nikajiunga Jeiefu nilizikuta stori zake zimepamba moto humu ndani kuwa alikua anaitwa Ontario na alikua ametoka kuwatapeli matajiri uchwara wa Jf siku siyo nyingi
 
Wakati namaliza darasa la 4 mwaka 2018 nikajiunga Jeiefu nilizikuta stori zake zimepamba moto humu ndani kuwa alikua anaitwa Ontario na alikua ametoka kuwatapeli matajiri uchwara wa Jf siku siyo nyingi
kumbe bado litoto darasa la nne mwaka 2018
basi uwe unanisalimia na kobas zako sawa
 
Sir jeff again. 😂😂
Kuna jamaa sijui yupo wapi simuoni Tena, nilikua napambana nae kila siku huku, ilikua ni vita mwanzo mwisho😂
Chanzo ni kuiponda hiyo idea ya Ontario ya forex

Mm huwa nakataa jf hakuna great thinkers aisee, kipindi kile cha Ontario ndio niligundua hili, watu walikua kama mazombi, sijui kutaka pesa za rahisi au ugumu wa life. Walimgeuza Ontario kama nabii
Walivyokuja kugundua wamepigwa bado wakawa hawaamini amini😂
 
King Ontario huyo, kiboko ya mabwege woote wa jamiiforum na tanzania yote kiujumla. 🤣😂

Alipiga wanasiasa, wasanii, na wengineoa maarufu, sema ndio kilio cha wengi na wengine wakalia kimya kimya, kilio cha samaki🤣😂
Kipindi kile ndio niliamini jf hakuna great thinkers😂😂
Jamaa alisepa na Kijiji chote, Kuna yule alikua anaandikaga story za ujasusi, nae akaungana na Ontario akawa anaweka post za kusifia na kusupport idea
 
Back
Top Bottom