Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #81
we naww mla chipsChips sio chakula kwani acheni kumind bhaner kwamba wanaume hawatakiwi kula mara moja moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we naww mla chipsChips sio chakula kwani acheni kumind bhaner kwamba wanaume hawatakiwi kula mara moja moja
wapImani yangu ni kwamba Sir Jeff almaarufu kama Ontario bado yuko JF na akiamua anajitafutia kiki kadri anavyopenda yeye anajipa kiki.
Hebu ona watu wanavyojimwaga hapa
we naww unakula chipsChips hazina tatizo kabisa kama mafuta yanayotumika yanatumika mara chache na yanaisha.
Hatari ya chips inakuwepo kama mafuta yanayotumika hasa kwenye biashara hayaishi yanaongezewa kila siku.
Unakuta mafuta machafu yaliyotumika siku nyingi au wiki kadhaa yapo Kwenye karai yanaongezewa tu hayamwagwi.
Hoteli kubwa chips ni special order ukifika ukiagiza viazi ndio vinamenywa halafu vinakaangwa.
mwanaume unakulaje chipsmmeamua tu kuzipa chipsi hadhi mbaya, lakini kama ni vyakula hatarishi mnakula vingi sana
Huyo anaitwa @ontorio humu mtafuteKuna mtu kila nikiingia x namkuta anapost kusifia chips. Na hii ni baada ya wadau kumponda nadhan anatumia muda wake wote maishani kujaribu kuonesha yuko sahihi.
Wanaume/Mwanaume usile chips we mwanaume ujue.
Isipokua kwa wale second class men
View attachment 3063603
hawezi jibu hizi tuhumaHuyo anaitwa @ontorio humu mtafute