Huyu mwanaume anaesifia kula chips twitter (x) ni nani Tanzania?

Huyu mwanaume anaesifia kula chips twitter (x) ni nani Tanzania?

King Ontario huyo, kiboko ya mabwege woote wa jamiiforum na tanzania yote kiujumla. 🤣😂

Alipiga wanasiasa, wasanii, na wengineoa maarufu, sema ndio kilio cha wengi na wengine wakalia kimya kimya, kilio cha samaki🤣😂
Halafu jamaa wa kawaida ila alijizolea wajinga wake 🤣🤣🤣
Tamaa zinawaponzaga sana wataka mafanikio kwa haraka
 
Nilipata maadui wengi, na mm navyopenda kwere basi ilikua naona burudani tu kupambana nao😂
Ilikua ni kosa kubwa sana kumsema Ontario, alikua ana jeshi kubwa sana humu
Tuliokua tunapinga tulikua hatuzidi 10 aisee ilikua ni balaa sana ukiamka na nyuzi zao zilipamba moto balaa nilikua kimya baadae nikaona wanatafuta picha za matapeli wa Durban na kuweka humu na magari yao ya kifahari basi wadogo wakiona X 6 wanajua nao wiki ijayo wata endesha mara tukaanza kusikia wanalipia darasa hapo posta bei kubwa masaa machache tu.
 
Tuliokua tunapinga tulikua hatuzidi 10 aisee ilikua ni balaa sana ukiamka na nyuzi zao zilipamba moto balaa nilikua kimya baadae nikaona wanatafuta picha za matapeli wa Durban na kuweka humu na magari yao ya kifahari basi wadogo wakiona X 6 wanajua nao wiki ijayo wata endesha mara tukaanza kusikia wanalipia darasa hapo posta bei kubwa masaa machache tu.
Wabongo wengi ni watu wasiofatilia wala kujua mambo mengi, ukitumia akili kidogo tu utawafanya utakavyo.
Na walikua huwaambii kitu na ole wako umkosoe Ontario, utatukanwa na kushambuliwa hadi basi
 
Kula chakula kutokana na mahitaji ya mwili wako..... unacheza na laptop siku nzima, dona ya nini 🤣 🤣 🤣
 
Kuna jamaa sijui yupo wapi simuoni Tena, nilikua napambana nae kila siku huku, ilikua ni vita mwanzo mwisho😂
Chanzo ni kuiponda hiyo idea ya Ontario ya forex

Mm huwa nakataa jf hakuna great thinkers aisee, kipindi kile cha Ontario ndio niligundua hili, watu walikua kama mazombi, sijui kutaka pesa za rahisi au ugumu wa life. Walimgeuza Ontario kama nabii
Walivyokuja kugundua wamepigwa bado wakawa hawaamini amini😂

Ulikua na The List? 😂😂 Au ndo mwenyewe? Forex ipo nilikutana nayo kwenye International Finance miezi mi nne 😂 lakini nilikua naona mazingaombwe tu . Lakin Genious Onta alikua anapiga lecture wana JF wiki tu wanaenda front kupambana😂😂😂
 
Kuna mtu kila nikiingia x namkuta anapost kusifia chips. Na hii ni baada ya wadau kumponda nadhan anatumia muda wake wote maishani kujaribu kuonesha yuko sahihi.

Wanaume/Mwanaume usile chips we mwanaume ujue.
Isipokua kwa wale second class men

View attachment 3063603
Mwanaume hawezi kula vyakula vyenu. Mwanaume anatakiwa kula mihogo na mahindi na magimbi vya kuchoma basi
 
1723057004390.png
 
Halafu jamaa wa kawaida ila alijizolea wajinga wake 🤣🤣🤣
Tamaa zinawaponzaga sana wataka mafanikio kwa haraka
Msingi wa utapeli ni tamaa, unajazwa unajazwa, kisha unazibuliwa uppercut, chembe, kidevu lazima maji uite mayii 😂
 
Kipindi kile ndio niliamini jf hakuna great thinkers😂😂
Jamaa alisepa na Kijiji chote, Kuna yule alikua anaandikaga story za ujasusi, nae akaungana na Ontario akawa anaweka post za kusifia na kusupport idea
Watu wakala za uso, kifo cha mende chalii, jamaa akasepa na mikwanja yake.

Walitahadharishwa humu ujeuri ukawajaa.
 
Tulipiga kelele walituona tunawakosesha hela za ku download.
Nakumbuka mzee, mlijitahidi saana kuwaelekeza watu, ila sikio la kufa tena, wakakaza shingo na chawa wake wakawa wanatetea kinoma.. Viscreenshot vya uomgo na akaumt za demo zikawaponza watu..
Mwisho wa siku ikawa kama dent aliyetiwa mimba kisa chipsi yai, majuto ni mjukuu, wachache wakalia hadharani, wengine kilio cha samaki
 
Back
Top Bottom