Huyu mwanaume anaesifia kula chips twitter (x) ni nani Tanzania?

Huyu mwanaume anaesifia kula chips twitter (x) ni nani Tanzania?

Kuna mtu kila nikiingia x namkuta anapost kusifia chips. Na hii ni baada ya wadau kumponda nadhan anatumia muda wake wote maishani kujaribu kuonesha yuko sahihi.

Wanaume/Mwanaume usile chips we mwanaume ujue.
Isipokua kwa wale second class men

View attachment 3063603
Yupo sahihi kwasababu ni mzee wa kudownloud pesa na pia kule trila na space triri za hadi members wapo 9.
 
Leo siku ya wakulima - hongereni
Chipsi - hazijawahi kumwacha mtu salamaa
Kuku - udenda nde ndee
Mishikaki + ndimu kali
Ndizi
Chachanduu
 
Kuna jamaa sijui yupo wapi simuoni Tena, nilikua napambana nae kila siku huku, ilikua ni vita mwanzo mwisho😂
Chanzo ni kuiponda hiyo idea ya Ontario ya forex

Mm huwa nakataa jf hakuna great thinkers aisee, kipindi kile cha Ontario ndio niligundua hili, watu walikua kama mazombi, sijui kutaka pesa za rahisi au ugumu wa life. Walimgeuza Ontario kama nabii
Walivyokuja kugundua wamepigwa bado wakawa hawaamini amini😂
Hata wewe sio great thinker, Joan alikuburuza sana 😄😄😄😄😄
 
Msingi wa utapeli ni tamaa, unajazwa unajazwa, kisha unazibuliwa uppercut, chembe, kidevu lazima maji uite mayii 😂
Tamaa haijawahi kumuacha mjinga salama!
Mimi Ontario nimemuelewa jamaa genius sana, km aliweza kuwatapeli had magreat thinker apewe tuzo.!! 🤣🤣🤣
 
Ulikua na The List? 😂😂 Au ndo mwenyewe? Forex ipo nilikutana nayo kwenye International Finance miezi mi nne 😂 lakini nilikua naona mazingaombwe tu . Lakin Genious Onta alikua anapiga lecture wana JF wiki tu wanaenda front kupambana😂😂😂
Wala, ni vile tu waligeuka kuwa mazombi hivyo wakiona mtu anakosoa wanajua anawaharibia kuwa mabilionea
 
Kuna jamaa sijui yupo wapi simuoni Tena, nilikua napambana nae kila siku huku, ilikua ni vita mwanzo mwisho😂
Chanzo ni kuiponda hiyo idea ya Ontario ya forex

Mm huwa nakataa jf hakuna great thinkers aisee, kipindi kile cha Ontario ndio niligundua hili, watu walikua kama mazombi, sijui kutaka pesa za rahisi au ugumu wa life. Walimgeuza Ontario kama nabii
Walivyokuja kugundua wamepigwa bado wakawa hawaamini amini😂
Sio kuwa hakuna great thinkers,...hawa waliopo huku ndo great thinkers wa taifa,....sasa fikiria ambao hawapo huku🥱🥱🚮
 
Back
Top Bottom