Halafu jamaa wa kawaida ila alijizolea wajinga wake 🤣🤣🤣King Ontario huyo, kiboko ya mabwege woote wa jamiiforum na tanzania yote kiujumla. 🤣😂
Alipiga wanasiasa, wasanii, na wengineoa maarufu, sema ndio kilio cha wengi na wengine wakalia kimya kimya, kilio cha samaki🤣😂
Tuliokua tunapinga tulikua hatuzidi 10 aisee ilikua ni balaa sana ukiamka na nyuzi zao zilipamba moto balaa nilikua kimya baadae nikaona wanatafuta picha za matapeli wa Durban na kuweka humu na magari yao ya kifahari basi wadogo wakiona X 6 wanajua nao wiki ijayo wata endesha mara tukaanza kusikia wanalipia darasa hapo posta bei kubwa masaa machache tu.Nilipata maadui wengi, na mm navyopenda kwere basi ilikua naona burudani tu kupambana nao😂
Ilikua ni kosa kubwa sana kumsema Ontario, alikua ana jeshi kubwa sana humu
Jamaa genius sana 😂😂We mdharau tu wakati ali liza watu wazima humu wakatoa hadi kamasi
Kaja kupima upepoSi ajabu sir Jeff ndo wewe mwenyewe.
Naskia no kajanja kajanja sana hako kajamaa.
Kana tumbinu tukuka twa kuvutia watu wakape attention.
Wabongo wengi ni watu wasiofatilia wala kujua mambo mengi, ukitumia akili kidogo tu utawafanya utakavyo.Tuliokua tunapinga tulikua hatuzidi 10 aisee ilikua ni balaa sana ukiamka na nyuzi zao zilipamba moto balaa nilikua kimya baadae nikaona wanatafuta picha za matapeli wa Durban na kuweka humu na magari yao ya kifahari basi wadogo wakiona X 6 wanajua nao wiki ijayo wata endesha mara tukaanza kusikia wanalipia darasa hapo posta bei kubwa masaa machache tu.
mi siyo ww unahubiriwa na shekhe alolawiti watoto 15 mafiaLeo hujaenda kwa mwamposa kutapeliwa huku unasema ameen?
Ila Unahubiriwa na pope francis aliebariki ushogami siyo ww unahubiriwa na shekhe alolawiti watoto 15 mafia
Sasa akibariki yy mi inanihusu nn!?Ila Unahubiriwa na pope francis aliebariki ushoga
Kuna jamaa sijui yupo wapi simuoni Tena, nilikua napambana nae kila siku huku, ilikua ni vita mwanzo mwisho😂
Chanzo ni kuiponda hiyo idea ya Ontario ya forex
Mm huwa nakataa jf hakuna great thinkers aisee, kipindi kile cha Ontario ndio niligundua hili, watu walikua kama mazombi, sijui kutaka pesa za rahisi au ugumu wa life. Walimgeuza Ontario kama nabii
Walivyokuja kugundua wamepigwa bado wakawa hawaamini amini😂
Mwanaume hawezi kula vyakula vyenu. Mwanaume anatakiwa kula mihogo na mahindi na magimbi vya kuchoma basiKuna mtu kila nikiingia x namkuta anapost kusifia chips. Na hii ni baada ya wadau kumponda nadhan anatumia muda wake wote maishani kujaribu kuonesha yuko sahihi.
Wanaume/Mwanaume usile chips we mwanaume ujue.
Isipokua kwa wale second class men
View attachment 3063603
Kula chips ni ishara ya kufanikiwa kimaisha? Blaza chips si inauzwa buku 2!Sir Jeff.
Yuko sahihi kwa sababu anazozitoa.
Tatizo sisi masikini wengi tuna chuki kwa watu ambao wametuzidi mafanikio.
Msingi wa utapeli ni tamaa, unajazwa unajazwa, kisha unazibuliwa uppercut, chembe, kidevu lazima maji uite mayii 😂Halafu jamaa wa kawaida ila alijizolea wajinga wake 🤣🤣🤣
Tamaa zinawaponzaga sana wataka mafanikio kwa haraka
Watu wakala za uso, kifo cha mende chalii, jamaa akasepa na mikwanja yake.Kipindi kile ndio niliamini jf hakuna great thinkers😂😂
Jamaa alisepa na Kijiji chote, Kuna yule alikua anaandikaga story za ujasusi, nae akaungana na Ontario akawa anaweka post za kusifia na kusupport idea
Nakumbuka mzee, mlijitahidi saana kuwaelekeza watu, ila sikio la kufa tena, wakakaza shingo na chawa wake wakawa wanatetea kinoma.. Viscreenshot vya uomgo na akaumt za demo zikawaponza watu..Tulipiga kelele walituona tunawakosesha hela za ku download.
Forest Hill.mmeamua tu kuzipa chipsi hadhi mbaya, lakini kama ni vyakula hatarishi mnakula vingi sana