Huyu mwanaume anaesifia kula chips twitter (x) ni nani Tanzania?

Yupo sahihi kwasababu ni mzee wa kudownloud pesa na pia kule trila na space triri za hadi members wapo 9.
 
Leo siku ya wakulima - hongereni
Chipsi - hazijawahi kumwacha mtu salamaa
Kuku - udenda nde ndee
Mishikaki + ndimu kali
Ndizi
Chachanduu
 
Hata wewe sio great thinker, Joan alikuburuza sana 😄😄😄😄😄
 
Msingi wa utapeli ni tamaa, unajazwa unajazwa, kisha unazibuliwa uppercut, chembe, kidevu lazima maji uite mayii 😂
Tamaa haijawahi kumuacha mjinga salama!
Mimi Ontario nimemuelewa jamaa genius sana, km aliweza kuwatapeli had magreat thinker apewe tuzo.!! 🤣🤣🤣
 
Wala, ni vile tu waligeuka kuwa mazombi hivyo wakiona mtu anakosoa wanajua anawaharibia kuwa mabilionea
 
Sio kuwa hakuna great thinkers,...hawa waliopo huku ndo great thinkers wa taifa,....sasa fikiria ambao hawapo huku🥱🥱🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…