Kuna mtu kila nikiingia x namkuta anapost kusifia chips. Na hii ni baada ya wadau kumponda nadhan anatumia muda wake wote maishani kujaribu kuonesha yuko sahihi.
Wanaume/Mwanaume usile chips we mwanaume ujue.
Isipokua kwa wale second class men
View attachment 3063603