DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Uyu ndege kakwamisha Sana zoezi letu la Katiba mpya[emoji4]Huyo ndege JOHN hana umuhimu wowote ule.Nakuja Mwanza kwa ajili ya kuja kumuua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyu ndege kakwamisha Sana zoezi letu la Katiba mpya[emoji4]Huyo ndege JOHN hana umuhimu wowote ule.Nakuja Mwanza kwa ajili ya kuja kumuua.
kwendraaaa zako mkuu huwez pata mahal kama mwz tz nzima
Katiba mpya ni sasa,taka usitake.Uyu ndege kakwamisha Sana zoezi letu la Katiba mpya[emoji4]
Nilinunua nyama robo na ndoano tukawawekea alivomeza tu kanasa.Watu wa ifakara wanajuwa sana.walimkamataje huyo ndege maana ukimsogelea tu anaruka
ndege hana hata upaja! Ni mifupa mitupu ulikula nini hapo mkuu
Jaza ujazweKosa huyo jamaa wa komment kuweka picha nisingeelewa unazungumzia ndege gani umeweka mapicha kibao hayana hata msingi
Unajaza serva
😂😂😂😂Uyu ndege kakwamisha Sana zoezi letu la Katiba mpya[emoji4]
Kweli ni pachafu sana ndio maana amebiasis, typhoid fever na minyoo ni kugusa tu, watu full kulishana vinyesiNa hao hupatikana maeneo machafu! Kiufupi mwanza ni pachafu…
Cc ndege JOHNNdege mwenyewe ni huyu, usije ukajaribu kum suicide kivyovyote vile.
serikali inamlinda sana.
Most welcome Jijini Mwanza, Jiji Kubwa sana na lenye heshima kubwa Tanzania baada ya Dar es salaam.
View attachment 2058054View attachment 2058056View attachment 2058057View attachment 2058058View attachment 2058054View attachment 2058056View attachment 2058057View attachment 2058058
Karoli or rather marabouuu stock!!! Dirty dirty filthy filthy!!! CongsNdege mwenyewe ni huyu, usije ukajaribu kum suicide kivyovyote vile.
serikali inamlinda sana.
Most welcome Jijini Mwanza, Jiji Kubwa sana na lenye heshima kubwa Tanzania baada ya Dar es salaam.
View attachment 2058054View attachment 2058056View attachment 2058057View attachment 2058058View attachment 2058054View attachment 2058056View attachment 2058057View attachment 2058058
SAWA MKUUKama wewe ni wa kiume, wazazi wamelamba hasara kwa uandishi huo!
Huyu ni ndege wa kawaida kwa jina la kiingereza anaitwa marabou Stoke, au bwana afya kama watu wa Kanda ya ziwa wanavopenda kumwita, sidhani kama tayari amejumuishwa kwenye species zilizoko mbioni kutoweka. Ni ndege ambaye hana madhara ni nadra sana mtu kufikiria kumdhuruNdege mwenyewe ni huyu, usije ukajaribu kum suicide kivyovyote vile.
serikali inamlinda sana.
Most welcome Jijini Mwanza, Jiji Kubwa sana na lenye heshima kubwa Tanzania baada ya Dar es salaam.
View attachment 2058054View attachment 2058056View attachment 2058057View attachment 2058058View attachment 2058054View attachment 2058056View attachment 2058057View attachment 2058058
Upande gani tuchukue tahadhari?Endelea kula kiepe mdogoangu nasikia panya rodi wamerudi sijui utaweza kutumia hio manati[emoji23][emoji23]