kweli mkuu, hivi vippimo bado vinakasoro zake yani vinakuwa ka vinakisia maana vinaangalia cd4,Exactly nusura nimpoteze Kaka yangu mwingine tuliletewa hivyo vipimo na Kaka yangu ambaye ni doctor kupima jamaa akaonekana anao, weeee akapagawa akakimbilia angaza akaambiwa hauna yaaani unaweza kufa hivi hivi ukijiona
hahahaHizo taarifa zote hapo juu ni za uwongo....HIV ni habari nnyingine tusidanganye umma.ARV zimesaidia wengi sana nchi hizi zetu za kiafrica.
Sababu umekua psychologically masturbated that's why you think zinasaidiaHizo taarifa zote hapo juu ni za uwongo....HIV ni habari nnyingine tusidanganye umma.ARV zimesaidia wengi sana nchi hizi zetu za kiafrica.
Nimewahi kusoma mada zake saaaaaaaaaaana ila sijawahi kuchangia, the guy anaongea the naked truth ila sababu timeshawekwa kwenye zone mbaya that's why tunampinga ila in reality there's nothing as UKIMWIKuna Dr mmoja fb anaongeaga haya watu wanamchukuliaga chizi....
Vyandarua vile vina sumu ya kukuua pole pole...Ila hawa watu weupe sio wazuri kabisa, kuna kipindi aliekuwa rais wa marekan Bushi alikuja bongo akatoa vyandarua kama sikosei mia nne au laki nne hivi nikajiuliza sana hivi jamaa alishindwa kusaidia jinsi kupunguza au kuondoa kabisa mazalia ya mbu akaona atupe vyandarua wakati asalimia kubwa tunang'atwa na mbu nje ya kitanda, hawa jamaa wanatuona mapoyoyo
Mimi mkuu nimeshashituka sipimi ukimwi hata kwa greda...lengo la wazungu kukuathiri kisaikolojia ili ufe....maana mwili wa binadamu uhai wake ni saikolojia ikiiua tu hiyo Hana maisha...Nimewahi kusoma mada zake saaaaaaaaaaana ila sijawahi kuchangia, the guy anaongea the naked truth ila sababu timeshawekwa kwenye zone mbaya that's why tunampinga ila in reality there's nothing as UKIMWI
haha yaani ukishajikuta HIV+ kg zinapunfua hapo* na ndipo unaanza kuugua magonjwa*..,saikolojia ni kitu kingine kabisa,don't mess with itMimi mkuu nimeshashituka sipimi ukimwi hata kwa greda...lengo la wazungu kukuathiri kisaikolojia ili ufe....maana mwili wa binadamu uhai wake ni saikolojia ikiiua tu hiyo Hana maisha...
Kumbe mzima anajifia bure...
Yawezekana una miaka 18 hujui unachokisemaSababu umekua psychologically masturbated that's why you think zinasaidia
Bado unanyoanya inawezekana hujui unachokisema....personally siwezi kwenda hata kupima huu ugonjwa fake
Kuna mtu alikuwa akiitwa Mama Terry, hivi bado yupo?maranyingi ukipima hata ka ulikuwa na matatizo au ugonjwa kinga za mwili zinaweza kuwa chini na ikiwa chini tuu tafsiri yake ni kuwa una HIV, ila hukimbilia kushauri watu kupima ka wana HIV waanze dawa mapema, na hapo ndipo watu huanza kuua na kujimaliza maana ukigusa ARV tuu unawa ka mtu aliye tumia madawa ya kulevya kwa muda yani ukiacha ndipo unakufa haraka tofauti na mtu ambaye alikuwa hajatumia. katika bei ni serikali ndiyo inanunua na kuwapatia wanachi, kama wachangiaji wengine walivyosema kinachoua ni magonjwa mengine kwahiyo ukitibiwa hayo na ukala vizuri ukafanya mazoezi na kupumzika ipasavyo utaishi miaka mingi kiasi kikubwa tofauti na hizidawa tupewazo maana dawa zikizidi mwilini zinajenga sumu taratibu mwisho tunakufa kibudu kutokana na simu kwenye ini na viungo vingine, yani ukiumwa kaugonjwa kadogo unapondoka maana mwili unakuwa na sumu nyingi zitokanazo na dawa hizo
yupo mkuu. bila shaka ulikuwa unafuatilia sana masomo na elimu zakeKuna mtu alikuwa akiitwa Mama Terry, hivi bado yupo?
Nimejikuta namkumbuka tu.