Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Hela zako nunua hisa pia gawio endelea kununua hisa pia salary yako ulipwe kihisa hapo utakwepa Mana hisa umewekeza mtaji . Hiyo naijua moja zingine ziko mbali kwenye ubongo mfu mkuuHapa wacha niKasome mbinu ya ukwepaji wa Kodi aliyoitumia d.trump inahusisha yale ma corporate sijui!!
Wewe mpumbavu endelea kukariri vitini vya nyambari nyangwine shwain wewe.Akili ndogo sana wewe. Unajua bank zinavyofanya kazi? Hawakuzuii kuwa na account sehem nyingine ila kuna baadhi ya facilities huwezi pewa na bank fulani mpaka all daily operations transactions uwe unafanya nao. Kwa maana nyingine utalazimika kuachana na account zingine bila kupenda sababu zitakua zinakuongezea gharama na baadhi ya bank watataka ufunge accounts kabisa sehemu zingine. Kuna facilities kama Letters of credit, Bills Discounting, post import loans,post purchase loans etc ambazo ni short term loan facilities zinakuaga na hayo masharti. Hizo sio kwa individuals au kiazi kama wewe hizo ni facilities kwa giants kama tanga cement, Bakhresa etc wanaofanya daily mass production kubwa na kila siku billions zinapita na wanafanya sana importation na exportation. Nimeandika kiufupi sana japo najua fools like you sometimes never learn. Uliza kama kuna bank teller yeyote hata anaelewa hayo niliyoyaandika. Na hizo facilities ni giants banks tu ndo zinatoa so hata kama mjomba wako ambae ni meneja wa bank ukimuuliza hizo mambo atatoka kapa na sio dhambi sababu hawana export/import facilities.
$25 Millioni ni hela nyingi sana dunia nzima.Mbona huulizii why mie ama wewe hatunazo hizo lakini. Kwa Nini unafuatilia utajili wa mtu na sio umasikini wa watu ili ujue chanzo zao wanyanyuke kimaisha watoke kwenye Lindi la umasikini lakini.
Kapata wapi mbona huulizii watu wamepata wapi umasikini Ila mkuu umefanya mpaka nimeogopa ama nikuigope. Yaani shida yako hata Nini. Hizi sio hela nyingi Ni za kawaida ukiweka katika dola Ni kitu Kama dola 25Milioni so ni hela ya kawaida nje sema hapa bongo kwa wamasikini wengi ukiwa hata na dola 10k unavimba kumbe wenzako Ni hela ya kuhonga Tena one night stand.
Tafuta hela take risk,wakati umelala wanaume wenzako wanawaza how to get money or dying getting it ili wakutawale na kizazi chako
Nasikia Wema ananyota,ukifanikiwa kumlaa basi na mambo yako lazima yanyooke,eti ni kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeyee mwenyewe ameshaji chokea had anatamani kufa, sasa kuna nn hapo. Uwiiiiii ila ma ex zake waliotoka kupitia yeye wanashindwa kulipa fadhila, hasa domokayaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwny hisa utapigwa Kodi sehemu mbili,Ya kwanza ukipata gawio(dividend) serikali itakula Kodi yake hapo Kama kawaida.Hela zako nunua hisa pia gawio endelea kununua hisa pia salary yako ulipwe kihisa hapo utakwepa Mana hisa umewekeza mtaji . Hiyo naijua moja zingine ziko mbali kwenye ubongo mfu mkuu
Sijakataa Ila ukiwa nayo kwenye dollar millionaire si tutakupata ndani ya top ngapi mkuu$25 Millioni ni hela nyingi sana dunia nzima.
Usijaribu kudanganya watu.
Amka wewe usije ukakojolea godoro la shemeji ako
Sema jeifu [emoji119]
Unaweza muomba msaada mtu anayetakiwa kukuomba wewe
Yani unakuta amekuzidi uongo tu na confidence ya kimasikini
Kina diamond haoJamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .
Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Uvuvi haramu unaendelea hapaPesa ndogo Sana hio am 32yrs na Nina 1B kasoro ..na sijulikani na mtu yoyote natembelea tu ka vanguard ..show room ya magari ziko mbili mikoa miwili tofauti
Mtu mwenye hela kama hiyo alitakiwa aweke kwenye zile big 5 banks.Hasara ya kwanza ni kwamba benki ikifilisika hata kama unamiliki bilioni 57 kama huyo jamaa,Pesa utakayolipwa kama fidia haitazidi shs Milioni 1.5 za Kitanzania.
Kwani KCB bank ni benki ya wapi ndugu mwandishi? 🤣🤣🤣Wekeni hela kwenye digital wallets na mafunguo kama yote,mimi sijawahi weka hela benki thubutu mijitu haifanyi kazi inavizia nani ana hela ya kamchukulie kimkakati ,weka hela hata kenya wana katiba nzuri huku ni wezi tu ova
Suala sio top ngapi.Sijakataa Ila ukiwa nayo kwenye dollar millionaire si tutakupata ndani ya top ngapi mkuu
Hapo ndipo unapojifunga hivi Kuna mganga anatoa utajiri. Mbona tungekuwa tunawazidi wazungu kwa utajiri. Hizi Imani ndizo tulikalia labda wakatutawala amaDah haya maisha ukiona vijana wanavyotusua unaweza kwenda kwa mganga
OQP mwenzio amefika miaka 38 huku yupo yupo tu analia tu anafosi penzi na dereva wa boss wake🤣🤣🤣🤣OQP ( ONLY QUALITY PEOPLE)
Ila tuheshimu hustles za watu... kusema mtu ni tapeli ni rahisi sana... mi nadhani mtu mpaka amiliki bilioni 50 benki atakuwa na kitu cha ziada... Huwezi ukasema kwamba utajiri wote huo ni utapeli.. watu wanatumia akili zaoNilisikiaga ni tapeli, wanawauziaga wazungu dhahabu feki huko south Africa, nilisikiaga tu.