Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Ila wanawake wadangaji sikuzote hawanaga akili.. exposure yote ya mabilioni halafu ukimuangalia mwanamke unakuta hana cha maana... si bora wangekuwa wanatoa tu huo uke bure
 
25M U$D sio pesa ndogo huko duniani labda sijui wewe umeitafsiri vipi, kuanzia 1M U$D ni pesa nyingi.
 
nmesoma thread yake jamaa nmeishia kucheka tu ila niseme kuna watu wana ukwasi wa kutisha.

kuna mmoja ana show room hapa shekilango njia ya kwenda mabibo tunajuana na ni mtu wa swala tano katika maongezi nkampiga kibom cha sh flani maana nlkuwa maji ya shingo akaingia crdb account na kunrushia ile hela kupitia app then akaangalia salio lililobaki nikiwa naona.

to be honest nilipata kama shock ya sekunde kadhaa sabab hela ilosoma na mwenyewe akanambia dogo hali ngum kwa sasa na ndo ana show room tu kama 7 kwa dar itakuwa mtu mwenye scania kama 2000? akose hyo hela.

TUTAFUTENI HELA NDUGU ZANGUNI HAIJALISHI UMETOKA KWENYE FAMILIA GANI WEKA JUHUDI,TENGENEZA CYCLE SAHIHI TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…