Watu hatusomagi yale maelezo nyuma ya account opening form. Nakumbuka kuna mzungu mmoja nilikuaga namfungulia account akaomba aondoke na forms kwanza. Kesho yake akaja ame underline baadhi ya vipengele anataka ufafanuzi. Nikamuelezea ila vingine vikawa vigumu nikaipangua nikampeleka kwa boss wangu maana mi pia nilikua sijawahi kusoma nilijibu kwa experience tu
Kaomba asaidiwe akidai ana show rooms mbili za magari Zanzibar na vituo vya kulea yatima na anasaidia wajane. Kwa waliosoma Cuba wameelewa
Kilichopo tra linatakiwa liwe reflected na utajiri wako. Yaani ukiwa na let say 1000M Basi tra angalau uwe umelipa si chini 200M. Kuna Ile vat ama mapato. Kila buku uipatayo ya serikali Ni 180 wanakula Bata . Huku wao utajiri ama wizi wao hawalipi Kodi hata salalry zao zipo tax free
We unaamin hizo pesa ni zake?
Milionea wa Masanzakona labda , millionaire ni mtu ambaye ana bilioni 2.3 tshs ambayo ni equivalent na 1M USD na mara nyingi wanaziquantify katika assets na si cash kama wengi mnavyodhani humu ,cash sio asset ,cash ni liability tu ambayo muda wowote inapotea .Hapo kwenye B 50 T$h ni hela ndogo, hapana hapana tuache utani io pesa ni nyingi au umemaanisha ni ndogo kwa kina mo, bakhresa, rostam.
Tuache kuchukulia mambo poa poa, ukiwa na 1B T$h unahesabika ni moja wa ma millionaire duniani.
Sasa wewe Ni bank gani hio ambae hauna hata upeo labda bank ya damu
Watanzania wanaomiliki $1M or 2.5Bn tzs money tunaweza fika wangapi labdaMilionea wa Masanzakona labda , millionaire ni mtu ambaye ana bilioni 2.3 tshs ambayo ni equivalent na 1M USD na mara nyingi wanaziquantify katika assets na si cash kama wengi mnavyodhani humu ,cash sio asset ,cash ni liability tu ambayo muda wowote inapotea .
Ila huu mkeka wa huyu jamaa umenifanya nijisikie hopeless sana.., mtafanya watu tuanze kuuza madawa ya kulevya jamani, hii mikeka yenu msiwe mnaiweka hadharani bhana, mi najionaga nina pesa, kumbe hamna kitu kabisa aisee ,daaah, mnatupa msongo wa mawazo
Usijali,unakuja uzi code kiasiNa save kwenye google calender kabisa ili kwenye tarehe 12 january kama haujaupandisha uzi nikukumbushe
Thaman yako ipo kwenye ubinadamu wako, ukiwa na mentaliy yako ya kujigeuza bidhaa utakuja kununuliwa, utumiwe , uachwe halafu baadaye uanze kulalamika umechezewa.Huyu si ndo fyucha husband wa wema? Ila mastaa bana, wema unadate na mtu mwenye pesa kama huyu hata kama hatujui chanzo cha hizo pesa, basi mkiachana unajishusha thamani una date kale katoto sijui whozu sijui utitili gani si ubaki single tu ijulikane?
Yanafilisika mabenki makubwa huko Marekani na ulaya huko we unaongelea vibenki uchwara vya NMB hapa ? , Unajua kilichotokea 2008 kule USA kwenye banking industry ?CRDB
NMB
NBC
Standard Chartered
Stanbic
Citi
Hizi ndo bank kubwa Tz ambazo kufilisika ni impossible.
Ngoja mwaka upinduke...
Ntawashushia nyuzi khs huyu pcb sjui pck [emoji1]
Ngoja sahv ninyooshe mgongooo
Na mwili mkuu
Ova
View attachment 2464125
Atakuwa Singa wa ATT Tabora nini huyo?Kuandika rahisi sana....biashara unazijua au unaziskia? Eti crown,canter,LX [emoji2]
Nilishafanya kazi bank na tulikua na mteja anamalori kama elfu 2 account yake kubwa ilikua bank kwetu alikua anagonga 20m USD balance na hapo anatenda kubeba tumbaku zote Tanzania. Halafu mtu wa showroom mbili za magari awe na ukwasi huo. Unajua faida kwenye kila gari huwa ni sh ngapi?
Acha waendelee kuweka maisha na mapesa yao mitandaoni tuHuyu jamaa show off pia zimemponza.
Watanzania wanaomiliki $1M or 2.5Bn tzs money tunaweza fika wangapi labda
Hizi hela ni nyingi dollar million 25 unaita hela kidogo😆😆.Mbona pesa ndogo tu hio hata wewe ukiamua unazipata hasa ukiwa kwenye sekta ya madini. KILA wilaya nchini imejaa madini ni wewe tu
Kiwete ana lorry za haja.Lorry 2000 si mchezo we jamaa , na sidhani kama Tz kuna mtu au kampuni yenye freight lorries 2000 , hata yule Mhindi anayeitwa Bhanji ambaye ni contractor WA usafirishaji wa bidhaa za viwandani, kwenye migodi nk hana malori 2000 na ana malori mengi kama utitiri nchi hii ,hizo lorry 2000 Hana ,sembuse hao wengine ?
Statement ni ya kuforge, hata charges hazimake sense.Hii bank statement ni ya kufoji. Angalia font type na size ya “USD” kwa kulinganisha na true font ya statement . Utaona herufi “U”, “S” na “D” font yake siyo sawa na herufi hizo hizo sehemu nyingine kwenye statement. Safe to say, hii ni account ya Tshs.