Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Upate kwa mazingira gani ..hata ukijiuza kwa 80k per day itakuchukua miaka 34 kuipata 1bil asee hapo kizazi kitatoka utakufa na ubolo ndani yakoHuwa nawaza nikipata 1 bil nile nilale tu bila job,sasa mjuba anazo 50 b lakin kila siku anahangaika kufatilia hesabu
Usangu logistics wanaweza kuwa nazo hizi.Akili yako ndogo Sana
Hizo gari haidaiwi hata moja ..nimekupa hesabu tuassume Nina 0tzs balance nikiuza zote Ni sh ngapi nitakuwa nayo
Vile una ufinyu wa kufikiri unahisi huyo boss Ana acc moja?
Na Ni Nani mwenye Lori elf mbili hapa bongo hivi namba unazijua kweli elf mbili [emoji16] elf mbili[emoji16]
Imechanika? Weka gundiBro niungie ten kiongozi
Watu wa JF, dadekiii hapo hata mchana hujala na usiku hujui utaendaje afu unasema hela ndogo hiyoMbona pesa ndogo tu hio hata wewe ukiamua unazipata hasa ukiwa kwenye sekta ya madini. KILA wilaya nchini imejaa madini ni wewe tu
Huna hela wewe 🤣Imechanika? Weka gundi
Amka wewe usije ukakojolea godoro la shemeji akoPesa ndogo Sana hio am 32yrs na Nina 1B kasoro ..na sijulikani na mtu yoyote natembelea tu ka vanguard ..show room ya magari ziko mbili mikoa miwili tofauti
Hawezi kuwa tapeli, asingekuwepo. LAZIMA atakuwa ni mtu anafanya biashara halali. KWA MFANO Mimi hapa nilipo, nisipopata mtu wa kunikwamisha, nikiamua tuseme kutengeneza business inipe hata Billion 100 ndani ya miaka michache sana ijayo, natengeneza hiyo biashara na Billion 100 nazikamata. TATIZO NI KUKWAMISHANANilisikiaga ni tapeli, wanawauziaga wazungu dhahabu feki huko south Africa, nilisikiaga tu.
To make things public that was a very nice shot!Huyu huenda anatumika na cartel fulani au anatumika kufadhili baadhi ya mambo hatarishi maana miamala iko wazi kabisa mara mpesa mara ATM withdrawal....wanajificha kwenye migongo ya biashara hizo za magari na vituo vya yatima. Kaisha huyo aisee iko wazi kabisa,halafu alivyo na akili ndogo ishu confidential za bank statement anaweka Instagram....hakuna mfanya biashara mkubwa anaesotea hela afanye huo upuuzi. Hili jamaa linatumika tu ndo mana hata akili halina
We unaupeo mdogo sana,eti assume nimeuza gari zote 😆😆😆Akili yako ndogo Sana
Hizo gari haidaiwi hata moja ..nimekupa hesabu tuassume Nina 0tzs balance nikiuza zote Ni sh ngapi nitakuwa nayo
Vile una ufinyu wa kufikiri unahisi huyo boss Ana acc moja?
Na Ni Nani mwenye Lori elf mbili hapa bongo hivi namba unazijua kweli elf mbili 😁 elf mbili😁
Nami nilishangaa. Mfanyabiashara/mtu binafsi ana-deposit 18mil usd!! Na kwa biashara ipi Mtu ana-risk kukulipa cash!! Kama ni kweli hata benki wana makosa makubwa
Kwahiyo kwa kuweka public umeelewa cash deposit ya $ 18m imetoka wapi na ni genuine au sio. Hiyo kajichomesha tu kwa upeo wake mdogoTo make things public that was a very nice shot!
No complexity will be envisioned in scrutinizing the source of his income.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha Huyo ndiyo Bob Sambeke Jr Bilioea wa Moshi.
Hilo ni kweli Kwa mtizamo Wa kidunia japo uaminifu Wa mtu anaujua MunguTafiti zinaonesha wenzetu waislam waioshika dini kweli walio wengi ni waaminifu sana ukilinganisha na idadi ya waaminifu kwa upande wa pili. uaminifu kuanzia kwenye mahusiano, Biashara, kazi etc. Sio watu wa tamaa za kijinga!!!
Hata bia bei utofautianaWatu wa JF, dadekiii hapo hata mchana hujala na usiku hujui utaendaje afu unasema hela ndogo hiyo
Mimi nililikuwa nazo kwenye FDR zikaanza kuwa zinataka kama kuniletea matatizo, sasa hivi nimeshazikomba ZOTE baada ya maturity nimebakiza mil 4 tu kwenye savingsJamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .
Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema jeifu [emoji119]
Unaweza muomba msaada mtu anayetakiwa kukuomba wewe
Yani unakuta amekuzidi uongo tu na confidence ya kimasikini