Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Akili yako ndogo Sana
Hizo gari haidaiwi hata moja ..nimekupa hesabu tuassume Nina 0tzs balance nikiuza zote Ni sh ngapi nitakuwa nayo

Vile una ufinyu wa kufikiri unahisi huyo boss Ana acc moja?

Na Ni Nani mwenye Lori elf mbili hapa bongo hivi namba unazijua kweli elf mbili [emoji16] elf mbili[emoji16]
Usangu logistics wanaweza kuwa nazo hizi.
 
Anatafutwa mchawi hapo naona wakina hashpuppi wa 🇹🇿 wanaanza kuibuka..ngoja tusubiri kifuatacho ITV
012E1259-8493-4777-8F09-6AD91DF947A8.jpeg
 
Nilisikiaga ni tapeli, wanawauziaga wazungu dhahabu feki huko south Africa, nilisikiaga tu.
Hawezi kuwa tapeli, asingekuwepo. LAZIMA atakuwa ni mtu anafanya biashara halali. KWA MFANO Mimi hapa nilipo, nisipopata mtu wa kunikwamisha, nikiamua tuseme kutengeneza business inipe hata Billion 100 ndani ya miaka michache sana ijayo, natengeneza hiyo biashara na Billion 100 nazikamata. TATIZO NI KUKWAMISHANA
 
Huyu huenda anatumika na cartel fulani au anatumika kufadhili baadhi ya mambo hatarishi maana miamala iko wazi kabisa mara mpesa mara ATM withdrawal....wanajificha kwenye migongo ya biashara hizo za magari na vituo vya yatima. Kaisha huyo aisee iko wazi kabisa,halafu alivyo na akili ndogo ishu confidential za bank statement anaweka Instagram....hakuna mfanya biashara mkubwa anaesotea hela afanye huo upuuzi. Hili jamaa linatumika tu ndo mana hata akili halina
To make things public that was a very nice shot!
No complexity will be envisioned in scrutinizing the source of his income.
 
Akili yako ndogo Sana
Hizo gari haidaiwi hata moja ..nimekupa hesabu tuassume Nina 0tzs balance nikiuza zote Ni sh ngapi nitakuwa nayo

Vile una ufinyu wa kufikiri unahisi huyo boss Ana acc moja?

Na Ni Nani mwenye Lori elf mbili hapa bongo hivi namba unazijua kweli elf mbili 😁 elf mbili😁
We unaupeo mdogo sana,eti assume nimeuza gari zote 😆😆😆
Biashara unazojua ni zile za motivation speakers wanazokupigia hesabu zako. Nakuuliza biashara ya showroom za magari unaijua au unaiskia? Hiyo biashara ni ya mishen town zaidi tu utapata hela ya kufanyia fujo mjini ila sio utajiri, madogo kariakoo na maduka yao ya vifaa vya magari wanakalisha washkaji kibao wenye showroom kubwa. Kama maana ya utajiri hujui google.
For your information huyo wa malori account kubwa ilikua kwetu sababu ya masharti ya bank facilities tulizokua tunampa na hiyo ni kawaida kabisa kwa bank na mfanyabiashara. Nahisi hakuna utakachoelewa hapa
 
Tafiti zinaonesha wenzetu waislam waioshika dini kweli walio wengi ni waaminifu sana ukilinganisha na idadi ya waaminifu kwa upande wa pili. uaminifu kuanzia kwenye mahusiano, Biashara, kazi etc. Sio watu wa tamaa za kijinga!!!
Hilo ni kweli Kwa mtizamo Wa kidunia japo uaminifu Wa mtu anaujua Mungu
 
Jamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .

Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Mimi nililikuwa nazo kwenye FDR zikaanza kuwa zinataka kama kuniletea matatizo, sasa hivi nimeshazikomba ZOTE baada ya maturity nimebakiza mil 4 tu kwenye savings
 
Back
Top Bottom