Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Kabla ya hiyo Million 18 kuwekwa it means account yake ilikuwa na Million 7 na points.

Chunguza kwa umakini miamala yake. Inaenda sana Kenya kwa namba ya Safaricom USD 70,000 +254706111191. Yaani mobile transfer ya zaidi ya Million 161? Duh!.

Kuna hela imetoka Rwanda pia. Zaidi ya Billion 9.

Zote hizo zinatafakarisha mno.
 
Mkuu kwa niaba ya wezangu, naomba utueleweshe Kuna hasara gani katika kuweka mpunga mrefu bank,

Au hayo masharti yaliyopo nyuma ya form 🙏🙏
Kama ni pesa halali hakuna tatizo, lakini kama ni pesa za Jànja Jànja ni risk sana.

Bank zote zina vitengo vya frauds na wanakaguliwa na BOT.
 
Ni network hiyo, mfano mjukuu wa Idd Amin ni waziri kwenye serikali ya Museven yeye ndio kiongozi mkuu wa Cartel.
 
Sasa hivi unazo ngapi
 
Wekeni hela kwenye digital wallets na mafunguo kama yote,mimi sijawahi weka hela benki thubutu mijitu haifanyi kazi inavizia nani ana hela ya kamchukulie kimkakati ,weka hela hata kenya wana katiba nzuri huku ni wezi tu ova
 

Wewe Ni great Thinker. Asante kwa kumjibu huyo dogo.
 
Kwenye mapenzi yapo yanayo wavutia watu tofauti na pesa, Ni nyie wasaka fursa tu huwa mnaona kuliko kuwa na asie na pesa ni bora uwe singo lakin mwsho wa siku huwa hamfiki mahali wala kuwa na mafanikio ya maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…