Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Milionea wa Masanzakona labda , millionaire ni mtu ambaye ana bilioni 2.3 tshs ambayo ni equivalent na 1M USD na mara nyingi wanaziquantify katika assets na si cash kama wengi mnavyodhani humu ,cash sio asset ,cash ni liability tu ambayo muda wowote inapotea .
Kwani assets muda wowote haziwezi kupotea ?
 
Mleta mada una akili kweli u aulizaje kipato cha mtu kama vile unafanya nae kazi kua na b50+ kama anafanya biashara zake sio kitu cha kuhoji hivyo mambo mengine yaache yapite akikuambia kila wiki anatoa damu ya mtoto mchanga ndio apate hela utaendelea kuhoji we ridhika na life lako wao waache wapambane matawi ya juu
 
Mleta mada una akili kweli u aulizaje kipato cha mtu kama vile unafanya nae kazi kua na b50+ kama anafanya biashara zake sio kitu cha kuhoji hivyo mambo mengine yaache yapite akikuambia kila wiki anatoa damu ya mtoto mchanga ndio apate hela utaendelea kuhoji we ridhika na life lako wao waache wapambane matawi ya juu
Yes Ni masikini kichwani anaamini kuwa hela hizo Ni hadithi za hekaya kuwa mpaka utoe kafara. Ukitaka kumfariji wewe mwambie ivyo ili subconscious yake iku comprehend anachotaka kuamini
 
Wema katika ubora wake enzi hizo
noma sana, kipindi cha nyuma Domo alipokua anakojoa pale
demu alikua na lips nzuri sana, nyekundu ivi alaf so kissable
wali make out kwenye sofa ila ilikua ni picha-1, alaf demu aka vile akawa anamkiss Domo kwa shingo (picha- 2) daah qmmmmmq , Domo nadhani alimwaga pale
 
Huyo jamaa huwa inasemekana ni tapeli, na mtu wa biashara haramu. Na KCB bank wanasema hiyo statement ni feki
Na statement yake ya mchongo 😂😂😂😂😂
FlT4uP4WIAEE84P.jpeg
 
noma sana, kipindi cha nyuma Domo alipokua anakojoa pale
demu alikua na lips nzuri sana, nyekundu ivi alaf so kissable
wali make out kwenye sofa ila ilikua ni picha-1, alaf demu aka vile akawa anamkiss Domo kwa shingo (picha- 2) daah qmmmmmq , Domo nadhani alimwaga pale
Pale lazima atakuwa alimwaga. Sema yule kula denda anajua kuna nyingine kamshika kidevu Chaz Baba halafu anamla denda wako kwenye viti
 
Una mdomo mchafu sana, ni hizo pesa mbuzi ulizonazo? Mwenye biliono 50+ hana mdomo mchafu, wewe unayejitapa una bilioni 1 una ongea kwa dharau kubwa hivi, ungekua na bilioni 50 si ndio ungenyea watu kichwani au hata kumuweka mama ako housegirl wako wa kufanya usafi kwenye jumba lako
Huyu choko hana hata m1
 
Hivi TRA hawajui Kama Kuna watu tumezaliwa na bahati zetu Sasa Kama umeokota pesa Bado watataka Kodi , umeokota tanzanite ya billion Bado watataka Kodi ifikie hatua tusiweke pesa bank

Pesa zangu nataka zivuta kidogo kidogo Hadi ziishe
We choko huna hata m1 unatafuta pisi humu jf
 
Back
Top Bottom