Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #261
asante kwa kufichua siriKwake wale wasiomfahamu bwana mkubwa Gondwe ,mwaka 1997/8 tulikuwa naye kwenye uwanja wa damu nyegezi mwanza tukisaka nafasi ya kwenda jeshi la wananchi, Tukiwa mkoani tukiendelea na mchakato huo Gondwe alikosa furs hiyo na mwisho wake akaangukia radio free Africa kama mtangazaji mwanafunzi, kwa historical hiyo fupi angalau mmepata mwanga kidogo kuwa jamaa Toka zamani ndoto zake zilikuwa kuvaa kombati ikashindikana,so mwacheni ajilizishe tu kuvaa maana ilikuwa tamanio lake Toka siku nyingi ,
Thanks to hear that.Always here for you [emoji8]
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya.1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
Enjoy your weekend.Enjoy you're weekend!
NotedEnjoy your weekend.
Halafu anajifanyaga mlokole huyo
Sijawahi ona mlokole akiwa ndani ya kombat za jeshi
1:Naongea na civilian.Unaelewa nini kuhusu utumishi wa umma?
1. Anapigiwa salute kwasababu ni miongoni mwa makamishna walioteuliwa na rais.
2. Kuwa jeshi la akiba hakukufanyi kuvaa kombat kwenye shughuli maalum, vp wale vijana waliomaliza jkt na kurudi nyimbani?
3. Kupass out/kupiga gwaride kula kiapo hata mgambo wanakula.
4. Anayo force number ipi?
5. Wakati wa vita ya kagera hata polisi, magerza na mgambo pia walikwenda front
6. Jua kutofautisha jkt na servicemen?
Unapoongelea jkt elewa ni waajiriwa wa jwtz unapoongelea servicemen ndio vijana wanaopitia jkt, which is which?!
Tatizo watu wameshaifanya kombati sawa na overall la fundi garage!
Kwa taarifa yako Mgambo wanaitwa Jeshi la Akiba.na Ndio maana linasimamiwa na JWTZ. Mshauri wa Mgambo wa mkoa au wilaya Ni wanajeshi wa jw. Mkuu wa Jeshi la akiba kwa Sasa Ni Maj Gen( aliyekuwa anaongoza Jkt kabla my rais hajamteua Afande Charles mbughe)Unaelewa nini kuhusu utumishi wa umma?
1. Anapigiwa salute kwasababu ni miongoni mwa makamishna walioteuliwa na rais.
2. Kuwa jeshi la akiba hakukufanyi kuvaa kombat kwenye shughuli maalum, vp wale vijana waliomaliza jkt na kurudi nyimbani?
3. Kupass out/kupiga gwaride kula kiapo hata mgambo wanakula.
4. Anayo force number ipi?
5. Wakati wa vita ya kagera hata polisi, magerza na mgambo pia walikwenda front
6. Jua kutofautisha jkt na servicemen?
Unapoongelea jkt elewa ni waajiriwa wa jwtz unapoongelea servicemen ndio vijana wanaopitia jkt, which is which?!
Tatizo watu wameshaifanya kombati sawa na overall la fundi garage!
Kama unayaelewa usingehoji Dc gondwe kuvaa nguo zenye mabaka sawa na sare za jwtz.Hayo yote nayaelewa jibu maswali yangu, au huoni hapo?
Ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya .DC ni kamishna (ambae ni mtumishi wa umma) sasa utumishi wa umma na kuvaa mavazi ya vyombo vya ulinzi na usalama wapi na wapi?
Ni tanzania pekee, huwezi kukuta kokote duniani mtumishi wa umma kama huyo.
Mkuu wa takukuru wa Sasa Ni mjeshi. Na Ni mtumishi wa umma.DC ni kamishna (ambae ni mtumishi wa umma) sasa utumishi wa umma na kuvaa mavazi ya vyombo vya ulinzi na usalama wapi na wapi?
Ni tanzania pekee, huwezi kukuta kokote duniani mtumishi wa umma kama huyo.
Tofautisha vyeo vya kisiasa na vyeo rasmi, maana kuna watu umewataja hapo wenye vyeo vya kisiasa kitu ambacho kwasasa hakipo, pia kuna wale majenerali; kikawaida kuna ngazi ya ukifikia utastaafu kuweko kwenye muundo wa utawala wa chombo husika lakini hustaafu kazi kwa maana cheo chako utatambulika nacho hadi kufa kwako na ndio maana simshangai Gaguti wala Kijuu, kwa maana wale ni majenerali.Mkuu wa takukuru wa Sasa Ni mjeshi. Na Ni mtumishi wa umma.
RC wa kagera Kaguti Ni mjeshi. Nauliza: rc mtumishi wa umma kupiga combat ofcn Ni kosa?
Usichanganye madesa beberu. Mfumo wa utawala tz upo sawa kwa mahitaji ya Watz. Haikuanza Leo. George mkuchika waziri ( mb) ,Rtd Lt yusuph makamba, Maj Anatory Tarimo, nknk walikuwa civil servants na wajeda pia.
Kuruta( recruits) akisha pass out Ni sehemu ya jeshi. Pakitokea OP na akahusishwa kwenye hiyo OP hazuiwi kuvaa combat Wala kupewa bunduki.
Alifundishwa kupiga salute na kofia, pasipo kofia na akiwa na bunduki.
Huyo Ni sehemu ya jeshi.
Sare wasizoruhusiwa kuvaa Ni dress number one. Lakini combat anavaa( haina crown)
Sio sababuNi mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya .
Unafahamu nini kuhusu madaraka ya umma??Ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya .
Soma hapo, kila kitu kina muundo wakeKama unayaelewa usingehoji Dc gondwe kuvaa nguo zenye mabaka sawa na sare za jwtz.
Unafahamu nini kuhusu madaraka ya umma??Huoni anapigiwa salute na hao hao wanajeshi?