Hypothetical Scenario: Rais Samia piga marufuku mikutano ya hadhara ya kisiasa Lisu aje akulazimishe kuifungua au aifanye kwa kukaidi

Hypothetical Scenario: Rais Samia piga marufuku mikutano ya hadhara ya kisiasa Lisu aje akulazimishe kuifungua au aifanye kwa kukaidi

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
SI MNASEMA SO CALLED "MARIDHIANO"/PROCESS TO MARIDHIANO AS PUT BY NGURUMO HAYANA FAIDA, SASA

Maana mnamuona LISU ni mwamba usiopenyeka.

Sasa namuomba Rais Samia apige marufuku mikutano ya kisiasa huyo Mwamba anayeaminika ataleta

mageuzi akiwa Mwenyekiti aje aifungue/ akaidi aifanye. Awaingize barabarani chadema/ wananchi

kupinga amri hiyo BATIRI ( maana itakuwa amri batiri ya udikiteita kusema kweli)
😊😄😁😂😃🤣

Matusi ruksa lakini angalia msifungiwe😳😳😳😳


View: https://www.youtube.com/watch?v=n6AOsHKulOE
 
USIMDAMGANYE, NADHAN MNGEMSHAURI MAMA KUA UFALME WAKE UMEPIMWA, HIVO ASHAURIWE KUONGOZA KWA KUFUATA MISINGI YA HAKI SHERIA NA KATIBA.

Mama hakuwahi kukutafuta Urais, na katika safari zake za Maisha hakuwah kutumia hata sumuni kupata madarakan, Leo ni Rais, je haitoshi kwake kujua tu ni MUNGU NDIO AMEMPA URAIS?.

NA KAMA NI MUNGU, BASI MUHIMIZENI KUFANYA SAWA NA MAELEKEZO YA MAANDIKO MATAKATIFU.
 
Maana mnamuona ni mwamba usiopenyeka.
Sasa namuomba Rais Samia apige marufuku mikutano ya kisiasa huyo Mwamba anayeaminika ataleta mageuzi akiwa Mwenyekiti aje aifungue/ akaidi aifanye. Awaingize barabarani chadema/ wananchi kupinga amri hiyo BATIRI ( maana itakuwa amri batiri ya udikiteita kusema kweli)
😊😄😁😂😃🤣

Matusi ruksa lakini angalia msifungiwe😳😳😳😳
Hivi hujaanza kuokota makopo kweli wewe?
 
USIMDAMGANYE, NADHAN MNGEMSHAURI MAMA KUA UFALME WAKE UMEPIMWA, HIVO ASHAURIWE KUONGOZA KWA KUFUATA MISINGI YA HAKI SHERIA NA KATIBA.

Mama hakuwahi kukutafuta Urais, na katika safari zake za Maisha hakuwah kutumia hata sumuni kupata madarakan, Leo ni Rais, je haitoshi kwake kujua tu ni MUNGU NDIO AMEMPA URAIS?.

NA KAMA NI MUNGU, BASI MUHIMIZENI KUFANYA SAWA NA MAELEKEZO YA MAANDIKO MATAKATIFU.
just a tease 😀 😀 😀 😀 😀
 
Maana mnamuona ni mwamba usiopenyeka.
Sasa namuomba Rais Samia apige marufuku mikutano ya kisiasa huyo Mwamba anayeaminika ataleta mageuzi akiwa Mwenyekiti aje aifungue/ akaidi aifanye. Awaingize barabarani chadema/ wananchi kupinga amri hiyo BATIRI ( maana itakuwa amri batiri ya udikiteita kusema kweli)
😊😄😁😂😃🤣

Matusi ruksa lakini angalia msifungiwe😳😳😳😳
Lissu kawavuruga kweli kweli....na bado mpaka mkome...
 
USIMDAMGANYE, NADHAN MNGEMSHAURI MAMA KUA UFALME WAKE UMEPIMWA, HIVO ASHAURIWE KUONGOZA KWA KUFUATA MISINGI YA HAKI SHERIA NA KATIBA.

Mama hakuwahi kukutafuta Urais, na katika safari zake za Maisha hakuwah kutumia hata sumuni kupata madarakan, Leo ni Rais, je haitoshi kwake kujua tu ni MUNGU NDIO AMEMPA URAIS?.

NA KAMA NI MUNGU, BASI MUHIMIZENI KUFANYA SAWA NA MAELEKEZO YA MAANDIKO MATAKATIFU.


Jamaa unateseka sana Mbowe hawezi kabisa kumshinda Lissu kama umepewa hii tenda rudisha pesa ya watu,

Mbowe hata kama angeachwa na Lemma au Heche bado angepigwa tu
 
..Mama ameamua kufungua mikutano kwasababu anaamini haina athari kwa Ccm na ndoto zake za Uraisi za 2025.

..Siku Mama atakapoamini Tundu Lissu ana ushawishi kwa Watanganyika, na ushawishi huo unaweza kukitia mchanga kitumbua cha Mama, tusishangae mikutano kufungiwa.

..Watanganyika wengi zaidi wakitambua HAKI zao, wakashikamana kama Wamaasai wa NGORONGORO, Mama atakuwa mpole, na atawasikiliza akiwa na adabu.
 
Lissu kawavuruga kweli kweli....na bado mpaka mkome...
kuropoka hakuwezi kumvuruga mtu......tutampa vipande vyake
all in all mikutano ikifungiwa ataifungua kwa nguvu? jibu hili swali
 
Maana mnamuona ni mwamba usiopenyeka.
Sasa namuomba Rais Samia apige marufuku mikutano ya kisiasa huyo Mwamba anayeaminika ataleta mageuzi akiwa Mwenyekiti aje aifungue/ akaidi aifanye. Awaingize barabarani chadema/ wananchi kupinga amri hiyo BATIRI ( maana itakuwa amri batiri ya udikiteita kusema kweli)
😊😄😁😂😃🤣

Matusi ruksa lakini angalia msifungiwe😳😳😳😳
Mnazidi kuumbuka......saccoss imefika mwisho.

Mabadiliko ni magumu kuyakubalia lakini Retired tulia mzee.

Chama ni cha wanachama
 
Back
Top Bottom