Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Kuwa peke yako, sometimes, ama most of the times, siyo jambo geni wala crime. Tatizo linakuja pale UNAPOSHINDWA kujichanganya, kuunda marafiki kirahisi, ama kufurahia social environment au hata kuwakeep marafiki au kudumisha positive conversation na communication. Seriously, huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine. Halafu, ukweli mchungu, ni ugonjwa wa akili.We ndio upo kama mimi mkuu, sijui tatizo lilianzia wapi ila mi toka mdogo ndivo nilivyo, kama sina kitu cha kufanya naenda zangu kulala hata kama ni mchana
Ishu yangu ni kuongea saana sio hayo mengineNaona ume dodge the main question very strategically.
You don't have any issues when fu*king a girl for the first time?
Welcome to my worldhuna tofauti na mimi mkuu.
Ila kuu kuna kipindi mwaka juzi tulikutana 5N temboni I hope hunikumbuki maana ilikuwa saa5 usiku ulikuwa na Member mmoja wa humu namsahau jinaAcha kabisa
Nimepoteza marafiki almost wote
Kukiwa na get together siendi au nikienda nakua tu bored
Kukiwa na mitoko natafuta excuses
Siku hizi hata simu hawapigi
Ila kuu kuna kipindi mwaka juzi tulikutana 5N temboni I hope hunikumbuki maana ilikuwa saa5 usiku ulikuwa na Member mmoja wa humu namsahau jina
Asante Dr ntajaribu kuacha ndio maana kama umenifuatilia kwa wiki moja na nusu nipo sana viwanja vya kujichanganyaWavuta-sigara na walevi wengi ukiwashauri waache kujidhuru kiafya, tena kwa hoja za kitaalamu kabisa, watakwambia hivihivi kama wewe, ^Fulani na fulani alikuwa anavuta sigara 100 kwa siku tena ameisha muda mrefu sana tu.^ Huu nao ni ugonjwa mwingine. Kumbe unapenda ugonjwa huo!??? Sasa why unataka uukimbie!???
Siku ukijifunza maana ya ubinafsi na jinsi ya kuuondoa, utakuwa umevumbua jambo kubwa sana, mithili ya Newton na ile falling ^apple^ ama Archimedes na ^heureka^ (I have found).
Ila kuu kuna kipindi mwaka juzi tulikutana 5N temboni I hope hunikumbuki maana ilikuwa saa5 usiku ulikuwa na Member mmoja wa humu namsahau jina
Pmoja sana mkuu hii ngoma wakati inaanza kuna mama yake na B.I.G anamwambia "....I want you yo hold on to that dream son"We jamaa nimekukubali ulivyoambatanisha hiyo cover..
Humo ndani
1. Natoriuos thugs
2. Whats Beef
3. You're nobody
4. Niggas bleed
Ukijumlishia na Warning from Ready to die
Ukijumlisha na Wu Shot Ya
Unataka story na watu za nini? Just listen to your intuitions..
tUpo pamoja saaana mkuuDaah,mkuu polesana ww nikatika kundi lile lawatu wakimya,wapole,haupendi makuu..amani kwako ndio jiwe lamsingi kabisa,huo sio ugonjwa niasiri yandani kabisa.
Hata mm nipo hivo ila sio zaid kama ulivo sema..kwani mm ninayamudu mazingira vizuri japo ilinichukua muda sana.
I do socialise but I like being alone I feel much betterKuwa peke yako, sometimes, ama most of the times, siyo jambo geni wala crime. Tatizo linakuja pale UNAPOSHINDWA kujichanganya, kuunda marafiki kirahisi, ama kufurahia social environment au hata kuwakeep marafiki au kudumisha positive conversation na communication. Seriously, huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine. Halafu, ukweli mchungu, ni ugonjwa wa akili.
Hayo ni mawazo yako mkuu tena hata demu wangu akija ni stori chache vitendo zaidi na kuangalia moviez napenda sana SERIESUnakaa sana chumbani , utakula una nyeto sana..
Maana kujifungia chumbani, unashawishika sana kuangalia porn, mwishowe waletee
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Ulimfanya nini mbona mpole sana jamaaImagine yule member siyo rafiki yangu tena
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ulimfanya nini mbona mpole sana jamaa
Haya bhana ndio maisha uliyojichaguliaHamna ni kupotezeana tu yaani iko hivyo kwa marafiki nnaokutana nao tunaweza hang out mara kadhaa
Najikuta bored basi inaisha hivyo
I don’t pick up calls, I don’t text back
Haya bhana ndio maisha uliyojichagulia
Karibu sanaSijakata tamaa natafuta njia ya kujinasua manake siyapend hayo maisha
Wacha nisome comment za wadau naweza nikapata ABC
Kama ndiyo hivi, basi sina ugomvi na wewe. Lakini ulivyoandika tangu mwanzo kuna uwalakini. Anyways!!!I do socialise but I like being alone I feel much better
Huyu mchizi napendaga kitambo sana pia mimi shabiki wa Chelsea, ni hivyo tuNdio maana unatumia avatar ya Ngolo Kante.
Maana na yeye yupo hivyo hivyo.