lontor
JF-Expert Member
- Apr 5, 2017
- 308
- 1,738
Pumzika kwa amani Akwilina. Kifo chako kimeliuzunisha taifa, kwa tamaa ya madaraka wameondosha uhai wako. Ni Mungu tu atoaye hukumu ya haki.
Neno lake linasema katika kitabu cha:
Kumbukumbu la Torati 32:35
''Kisasi ni changu mimi, na kulipa, Wakati itakapoteleza miguu yao; Maana siku ya msiba wao imekaribia, Na mambo yatakayowapata yatafanya haraka. ''
Tuzidi kuliombea taifa letu.
Neno lake linasema katika kitabu cha:
Kumbukumbu la Torati 32:35
''Kisasi ni changu mimi, na kulipa, Wakati itakapoteleza miguu yao; Maana siku ya msiba wao imekaribia, Na mambo yatakayowapata yatafanya haraka. ''
Tuzidi kuliombea taifa letu.