ID za JF zinaficha mengi, unaweza kukuta unachat na baba yako mzazi huko PM na haujui

Ukute mimi na wewe tunafahamiana vizuri tu πŸ˜€ila sasa ndo hivo
Yani kuna story niliandika ya dada aliyeacha kazi ofisini kwetu kuja kunihudumia kipindi nina ujauzito, nilivyokuona mara ya kwanza nilifikiri, mmh huyu asije kuwa yule Mamu wangu jamani 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
 
Kwa hiyo sisi tusio na avatar unatusomaje bwana dosho12 ? Kwanza kwenye vikao vya Majobless sikuoni siku hizi
 
Ha ha. Unasema tuna chati kwa uhuru kwa sababu za Id feki, wakati uhalisia ni kwamba tuna chati kwa uhuru wakati wote na pahala popote.

Nadhani ulitaka kusema, huwa tunatukanana kwa uhuru zaidiπŸ˜…πŸ˜œ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’­
Tunakuwa sisi wale halisi nje ya kuvaa ngozi ya Kondoo kumbe ni mbwa mwitu kwa uhuru zaidi

Unaweza kukuta anayekutukana hapa, ndo mwenyekiti wa Jumuiya ambaye Jana alikuwa anakutia moyo πŸ˜‚
 
Umenichekesha sana mkuuu!

Unataka kusemaje kwanini πŸ˜‚πŸ˜‚ ... Kwamba akiniita nisipoitikaaa πŸ˜‚πŸ˜‚

Ila ki ukweli hii fake I'd inafanya jf inanoga usikute hata wewe unanijua ila hivyo Tena πŸ˜‚
Kwamba hata kama una short call ukisikia sauti ya Mshangazi dot com unakatilia mbali hiyo short call irudi kipofuni πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Atakuwa amekufanyia tuning huyu za frequency πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
makutupora
 
Niliwahi kujaribu kufanya uchunguzi kupitia watu wanaonizunguka kama kuna wanaotumia JF lakini nikakuta hamna kabisa.
Lini ulifanya utafiti huo, kama ni jana tu, ujue walikuwa mfungoni na walijizima data tyu au Unazungukwa na watu masikini sana🀣🀣
Kwanza watu wanauliza ndio kuna nini huko huku wengine wakisema wao ni wavivu kusoma soma
aha, weye lazima utakuwa unapenda sana kusoma mazee. Jamii inawahitaji, sana watu kama ww, uwafundishe watu kusoma na uwakomboe wataacha uvivu.

πŸ˜‚

πŸ’­Hapa nawaza tyu, huyu anaishi kitaa gani.
 
Kwamba hata kama una short call ukisikia sauti ya Mshangazi dot com unakatilia mbali hiyo short call irudi kipofuni πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Atakuwa amekufanyia tuning huyu za frequency πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
makutupora
Hahahaha sio kweli mkuu! Kwanini unasema ivo? Ni jibu hili swali la mwisho Kisha nibubujike na Mimi πŸ˜‚

Unadhani ni kwa Sababu ananijua ndo maana I just respond her quickly or sijaelewa πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…