Idris Sultan akamatwa na Polisi, anahojiwa na Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Kwani hii awamu inataka nini? Watu wakikosoa hapana, wakichekesha hapana hivi ni kweli mhusika naye hapendi au kuna watu wanajivika hisia za boss?
 
Safari hii ndo akome bora hata Ommy dimpoz anatuchekesha na dogo dimpoz wala hatumii nguvu. Shida Idris anaforce kuchekesha ni bora aachane na kuchekesha
 
Hii kitu niliona .....hatarudia tena yule mtoto.

Sent using ubishi.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…