mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Achana na huyo njaakali, kwanza hajatoa ela ya mchango wa uwanja anakuja kumwaga upupu wake humuMmh this is a flown
Yaan simba iwapiku TP Mazembe, Esperance, Berkane, Kaizer Chiefs etc
Kwa lipi zaidi
mtapindisha sana maneno mbona hii list imewauma sana? kwa maoni malalamiko na ushauri ingia hii website au hamjui kiingereza wandugu? www.ifhss.comAchana na huyo njaakali, kwanza hajatoa ela ya mchango wa uwanja anakuja kumwaga upupu wake humu
Tunachojua sisi ni kuwa Simba tumeshika namba 104 Africa na link hii hapa chini nimekuwekeamtapindisha sana maneno mbona hii list imewauma sana? kwa maoni malalamiko na ushauri ingia hii website au hamjui kiingereza wandugu? www.ifhss.com
😅😅😅😅mtapindisha sana maneno mbona hii list imewauma sana? kwa maoni malalamiko na ushauri ingia hii website au hamjui kiingereza wandugu? www.ifhss.com
Mtabaki kuokoteza furaha ya kulazimisha wakati huo roho mkononi Kama mwizi, iyo nafasi imewasaidia nini mpaka sasa ebu tuambie!Pamoja na simba kuumia mgongo kwa kuwabeba vibonde wa hi linchi pamoja na shirikihisho la hovyohovyo TUNASHOSHUHUDIA NI FIGISU HADI ZA KUMFUNGULIA KESI CEO WA SIMBA NA MAMBO MENGI YA AJABU AJABU ILA MUNGU NDIYE ANAONA UKWELI SIMBA KAIBEBABA TENA HI LIGI ILIYOPAUKA KAMA NGOZI YA LOPOLOPO LA VYURA VYURANI
LIGI MBOVU YA TFF NA BODI CHAKAVU YA LIGI INASHIKA NAMBA 62 DUNIANI NA YA 9 AFRIKA BAADA YA KUPIGWA BAO NA ZAMBIA KWANI MWAKA JANA LIGI CHAKAVU ILIBEBWA NA SIMBA NA KUSHIKA NAMBA 8
CHA KUSHANGAZA WAHUSIKA HUWA WAKISHAPEWA HELA ZINAZONUKA ZA UDHAMINI HEWA WA MATAPELI YA SOKA HUANZA KUJISIFU HOVYOHOVYO HUKU WAHUSIKA WALIOIPANDISHA LIGI KIMATAIFA WAKIWA WANAWACHORA TU
FOR MORE INFO: IFFHS
View attachment 2101189
Mtabaki kuokoteza furaha ya kulazimisha wakati huo roho mkononi Kama mwizi, iyo nafasi imewasaidia nini mpaka sasa ebu tuambie!
Mkuu Makasiriko Ya Pablo Kupigana Na Viti Naona Hadi Kwa Mashabiki Wao.[emoji23]
Yaani umeandika ukiwa una hasira na njaakalihatari! Hebu kama vipi kale msosi halafu uteremshie na maji mengi.Pamoja na simba kuumia mgongo kwa kuwabeba vibonde wa hi linchi pamoja na shirikihisho la hovyohovyo TUNASHOSHUHUDIA NI FIGISU HADI ZA KUMFUNGULIA KESI CEO WA SIMBA NA MAMBO MENGI YA AJABU AJABU ILA MUNGU NDIYE ANAONA UKWELI SIMBA KAIBEBABA TENA HI LIGI ILIYOPAUKA KAMA NGOZI YA LOPOLOPO LA VYURA VYURANI
LIGI MBOVU YA TFF NA BODI CHAKAVU YA LIGI INASHIKA NAMBA 62 DUNIANI NA YA 9 AFRIKA BAADA YA KUPIGWA BAO NA ZAMBIA KWANI MWAKA JANA LIGI CHAKAVU ILIBEBWA NA SIMBA NA KUSHIKA NAMBA 8
CHA KUSHANGAZA WAHUSIKA HUWA WAKISHAPEWA HELA ZINAZONUKA ZA UDHAMINI HEWA WA MATAPELI YA SOKA HUANZA KUJISIFU HOVYOHOVYO HUKU WAHUSIKA WALIOIPANDISHA LIGI KIMATAIFA WAKIWA WANAWACHORA TU
FOR MORE INFO: IFFHS
View attachment 2101189
hiyo ni ya mwaka jana iku sum up issues za 2020 soma tarehe kuna mpya boss ,wenzako wa utopoloni wameiona roho zimelipuka i suggest that you fasten your belt and take a deep breathSafari hii mikia wanatafuta kila aina ya vipoozeo vya kuwapa faraja
huo muda wa kuja kunipa ushauri si ungeutumia kupambania ugali wako mkuu? au hilo bando ungeangalia ngono?Yaani umeandika ukiwa una hasira na njaakalihatari! Hebu kama vipi kale msosi halafu uteremshie na maji mengi.
Huna cha kupoteza hata ishike nafasi ya mwisho Afrika na duniani! Wewe cha msingi pambana watoto wale ugali.