Ifikie hatua tuachiane nafasi

Ifikie hatua tuachiane nafasi

Usichokijua ni kwamba mtu kukufuatilia ni matokeo ya signals ambazo umekuwa ukiziproject kwake. Mimi binafsi kuna nyakati nilikuwa mfuatiliaji mzuri sana ila ni baada ya kupigwa tukio na mpenzi wangu wa kwanza.

Nilikuwa sensitive sana na kuwa unrest kwa mwenendo wa wapenzi waliofuata kipindi ambacho walikuwa wakibadili response. Mfano kupunguza mawasiliano ghafla, kutokujali lazma utajiuliza kuna kitu hakipo sawa lazma ufuatilie. Mwisho unakuja kugundua kuna mtu kashaanza kujipachika kwenye penzi lenu.

Katika hali hiyo kufuatiliwa lazma na anayefuatiliwa hatapenda sababu atakuwa anaona kero au anabanwa banwa sababu ana mambo ya ajabu anafanya na hataki ajulikane.
Kuwa mkali kufuatiliwa ni sign kwamba mhusika lazima atakuwa na lengo la kupata uhuru Ili Kuna vitu anataka kufanya ambavyo kimsingi ni unhealthy kwenye mahusiano husika...
 
Kuwa mkali kufuatiliwa ni sign kwamba mhusika lazima atakuwa na lengo la kupata uhuru Ili Kuna vitu anataka kufanya ambavyo kimsingi ni unhealthy kwenye mahusiano husika...
In most cases huwa iko hivyo, na ndio maana mwanamke ambaye hataki kufuatiliwa huwa tunawaweka kwenye kundi la wahaini🤣! Huwez kuwa na kijana wa watu mnapendana vizuri tu halafu uanze kuchukia kwanini anajali sana kwa kukupigia simu!
 
In most cases huwa iko hivyo, na ndio maana mwanamke ambaye hataki kufuatiliwa huwa tunawaweka kwenye kundi la wahaini🤣! Huwez kuwa na kijana wa watu mnapendana vizuri tu halafu uanze kuchukia kwanini anajali sana kwa kukupigia simu!
🤣🤣🤣🤣 Eti wahaini!!
Eti hebu hata tuwe na huruma na investment za vijana wetu jamani,hisia, Upendo,muda na kahela ka airtime ila malipo Yao ni kuwaambia wanatusumbua,hivi ni Haki jamani?Ila mkataa pema pabaya panamwita watakuja kukutana na ma Idd amini siku Moja wawanyooshe
 
kupigiana sana simu, kutuma sana text ni mbaya, ni dalili ya needyness/clingyness, attention seeking behaviour na narcissism, ubinafsi kiujumla.....

labda upate ambaye anapenda kusumbuliwa
Clingyness ni tabia ambayo inahusisha insecurity.

There are some guys who are naturally insecure wao huwa hawajiamini tu. They always https://jamii.app/JFUserGuide shit up by thinking that they are always about to be cheated.

Ila kuna watu ambao wako sensitive tokana na tabia za wapenzi wao. Ushajua mtu kabadilika unakusanya ushahidi lazma uwe mfuatiliaji yani jino kwa jino hadi uone panapovuja.

Mtu anaebadilika ghafla inaelewekaga tu kuwa theres something fishy. Hakunaga namna ingine. Unambana hadi anakaa kwenye 18 unamkamata mchana kweupe. 😀
 
Clingyness ni tabia ambayo inahusisha insecurity.

There are some guys who are naturally insecure wao huwa hawajiamini tu. They always JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala shit up by thinking that they are always about to be cheated.

Ila kuna watu ambao wako sensitive tokana na tabia za wapenzi wao. Ushajua mtu kabadilika unakusanya ushahidi lazma uwe mfuatiliaji yani jino kwa jino hadi uone panapovuja.

Mtu anaebadilika ghafla inaelewekaga tu kuwa theres something fishy. Hakunaga namna ingine. Unambana hadi anakaa kwenye 18 unamkamata mchana kweupe. 😀
hapo kwenye kubadilika ghafla sawa, ila kwa hali ya kawaida call/text bombing ni utoto kwa kweli
 
Em tusemni ukweli,ivi mwanaume hakutafuti siku mbili ,akituma labda n kisms kimoja Cha usiku mwema, hajui kutoa ata ela ya vocha ,hajui Wala hajali lolote kuhusu wewe na yupo busy still anasema anakupenda, huo n upendo? Mawasiliano yananguvu mno aisee
Mbona tunaanza kusemana humu ndani
 
Back
Top Bottom