Ignore list on JamiiForums: Maboresho ya mwaka 2020


Utakua bia yetu wewe, pole kwa kufungiwa vioo 😂🤣🤣☺️☺️☺️☺️
 
Yote hii imekuja baada ya watu kama kina Mmawia kuzidiwa na hoja za nguvu na zenye ushahidi kutoka kwa baadhi ya rare creatures in JF.
 
Huu ni udikteta!
Ukiona mtu unahangaika eti usiwe unaona maoni ya mtu flani kisa hayuko upnde wako, jua una tatizo la kisaikolojia au una stress.

Binfsi siwezi kujihangaisha na mtu tunaekutana tu mtandaoni.
 
Utakua bia yetu wewe, pole kwa kufungiwa vioo [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Iam plesead to be ramark rather die being bia yenu
 
Kubofya ignore list dhidi ya jingalao ni ishara ya kuniogopa na kunikimbia ulingoni.

Kuna wafuasi wa CCM kibao humu mbona mmetajwa nyie wanne sana, mjirekebishe lugha za kuprovoke reactions au lugha mbovu achaneni nazo, or else mtajikuta nyie wanne peke yenu mkijijibu wenyewe hahahaaaa 😂😂😂🤣🤣🤣☺️☺️☺️☺️☺️🙈
 
Mimi sipendi ku block mtu Mara nyingi hu ignore maana kila mtu anapaswa kusikilizwa Ila mfano jukwaa la siasa Kuna watu wanaharibu makusudi nyuzi badala ya ku discuss wao huanza kuharibu nyuzi yoyote Tena kwa matusi, Sasa wanaotaka kuwa ignore ni Bora uwa ignore tu, Tena ingetakiwa sio ku ignore tu mtu anayetoka nje ya mada pia ku mpa ban ya mda ili kulinda hadhi ya JF before I joined JF nilikuwa napenda kusoma jukwaa la siasa watu wali discuss mada bila ushabiki na walikuwa wanatoa hoja bila matusi hata Yale maoni yaliwasaidia watalawa, Ila nowdays jukwaa limekuwa matahira sehemu ya matusi na ukiendelea kusoma huo upuuzi jukwaa zima linaonakana hamnazo haiwezekani JF idhidiwe na watu wa FB, au Ig kwenye maslay quenn kwenye hoja nzuri.
 
Mmefikia wapi kuweka jukwaa la TANZIA?

Au hamjui kuwa ni heshima kwa jamii kwa JF kuwa na jukwa hili?
Mnakwama wapi?

Hatutaweza kuanzisha jukwaa la misiba kwa sasa. Kumradhi
 
Siwezi kuvumilia upumbavu wa uvccm na buku 7 fc
 
Kila mtu ana Uhuru wake Ila jingalao and co company wao ni kuharibu mada na matusi mwanzo mwisho, Sasa wabaki wasome wenyewe huo utopolo wao. Mbona Kuna watu wanazi wa CCM wako critical tu na kikawaida.
 
Naam kiongozi. Naomba usiniweke mimi maana haitafanya kazi [emoji1787]
Melo bhana! Mbona umeharibu sana? Mtu kama anakukera si unajitoa jf?

Yani jf itakuwa ina makundi kama magroup ya whatsap ya vyama vya siasa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…