IGP mtimue au mfute kazi RPC wa Dodoma ikikupendeza

Wamfute kwa kosa gani sasa au kisa kasema ukweli tuache kutetea kwa mihemko yani inaonekana kabisa yule binti ni wale malaya wa Telegram ndio maana kapigwa na njemba tano lakini bado yuko fiti adi kujieleza kwakifupi yule ni kahaba sema tu video ilivuja lakini io ni kazi yake kaizoea
 
Afadhali, ila angefukuzwa kabisa
 

Attachments

  • Screenshot 2024-08-19 at 11.18.44.png
    692.8 KB · Views: 2

Bado hili halijafanyiwa kazi!!
 

Bado hili halijafanyiwa kazi!!
 

Bado hili halijafanyiwa kazi!!
 
Achana na malaya bana hao huwa wanadharau sana hawana heshima kwa wake halali
Mi nimewai shuhudia mchepuko akimuweka ndan mke halali sentro sasa km uyo mke halili anaweza pata wauwaji si anauwa kbsa
 

Siku mama yako mzazi atakapoitwa na kahaba na hawa maafisa wasio na weledi uje tena na kauli yako hii. Au unafikiri ana immunity?
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-08-19 at 03.03.58.jpeg
    39.6 KB · Views: 2
Kahaba hana haki ya kulindwa?
Wavuta bhangi wanaruhusiwa kubaka?.
Yeye ana mamlaka ya kutoa hukumu ya kesi au kufanya upelelezi?
nimeandika kwa maneno yenye kueleweka kabisa lkn watu bado hamuelewi!, halafu mnauliza maswali ambayo nimewaambia mnapaswa kuuliza!. sijui mnavichwa gani!
 
Wamelikoroga wenyewe hawa. Sisi tulishasahau. Sasa kwasababu wamelifufua this time around tutalibatiza upya
 
Mteja katika upora wako. Nimependa namna ulivyoguswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…