Pleasepast
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 509
- 848
Wamfute kwa kosa gani sasa au kisa kasema ukweli tuache kutetea kwa mihemko yani inaonekana kabisa yule binti ni wale malaya wa Telegram ndio maana kapigwa na njemba tano lakini bado yuko fiti adi kujieleza kwakifupi yule ni kahaba sema tu video ilivuja lakini io ni kazi yake kaizoea
Nimesoma taarifa ya RPC wa Dodoma juu ya sakata la unyanyasaji wa kingono aliofanyiwa Binti moja ambaye taarifa zake zilisambaa na kujadiliwa Sana mitandaoni na kwenye vyombo vingi vya habari.
Taarifa yake imekosa weledi wa kitaalamu na imekaa Kama ya kumlinda mhusika mkuu wa tukio lile. Afande RPC ni mwanamke kwa jinsi yake na ameshindwa kumtetea mwanamke mwenzake angalau kupata haki zake. Hii ni aibu na imepangwa na aliyepanga kaacha matundu mengi ya kulichafua Jeshi la polisi.
Kwa maana nyingine polisi Tena wenye madaraka na vyeo wanaharakisha kulichafua jeshi la polisi hivyo IGP chukua hatua na kwa kuanzia mtumbue huyu RPC wa DODOMA.