Polisi ni Polisi, hivyo ni vyeo tu!Nipe darasa kidogo kuhusu RCO na RTO... nani bosi? Je RTO anaweza kuwa RCO and vice versa?
Bosi wa usalama barabarani Tanzania anapopelekwa kuwa RPC Morogoro.. inakuwa demotion au promotion?
Wewe ni mkuu kituo ganiWanapangwa kwa amri ya IGP.Mkuu wa kituo class A(kituo kikuu cha polisi mkoa) na class B(kituo cha polisi wilaya).
Hahaha haya bhana... yani kama kitimoto na mbuzi katolikiPolisi ni Polisi, hivyo ni vyeo tu!
Kuna OCS mmoja hapo mwanza katambi sintomsahauKwwani mkuu maOCS wana rank gani kwa mujibu wa uzoefu wako hasa hapo dares salaam
Karibu nikuhudumie Kitimoto cha leoleo!Hahaha haya bhana... yani kama kitimoto na mbuzi katoliki
Kiongozi usipoteze muda wako kutomsahau mtu. We mwachie Mungu tu... atamrushia kovido wave 3 kiroho safi kabisaKuna OCS mmoja hapo mwanza katambi sintomsahau
Rosti au kavukavu...?Karibu nikuhudumie Kitimoto cha leoleo!
Well noted broKiongozi usipoteze muda wako kutomsahau mtu. We mwachie Mungu tu... atamrushia kovido wave 3 kiroho safi kabisa
Ukiona Mungu kachelewa kujibu maombi, unistue nikupe sapoti. Hii nchi yetu sote hakuna kuwaachia mazwazwa watuonee. Tumempata mkombozi mpya. Kitu cha wave 3Well noted bro
Support ipi iyo mkuuUkiona Mungu kachelewa kujibu maombi, unistue nikupe sapoti. Hii nchi yetu sote hakuna kuwaachia mazwazwa watuonee. Tumempata mkombozi mpya. Kitu cha wave 3
Zote zinapatikana, mwenzako Malaria Sugu yuko hapa anasubiria!Rosti au kavukavu...?
Unadhani rank ina uhusiano na weledi wa askari au una sababu gani ya kupendekeza hivi?Mi namshauri Afande IGP kuweka Ma RCO wa rank ya ACP maana kwa kweli ma RCO kuwa na rank sawa na MaOCS kwa kweli Dah! OCD kuwa SSP sawa ila SSP kuwa RCO dah!
Ofisi ya RCO inshort ilitakiwa ijitegemee moja moja na ndio walitakiwa kama wawe hata na Boss wao ambae ni DCI.Bora Leo watu wame amka nimakosa makubwa Sana RCO kuwa chini ya RPC coz uchafu unaofanya na ma NCOs Unakuta niamri halali ya RPC Sasa hapo RCO ataiandika ukweli ambao mahakama itamuwajibisha RPC ?
Ah huyo mwenyewe ni nyama tayari. Nyama inakula nyama?Zote zinapatikana, mwenzako Malaria Sugu yuko hapa anasubiria!
Ambaye ana Nuksi ya ' Kutoteuliwa ' pia.
Duh!Ambaye ana Nuksi ya ' Kutoteuliwa ' pia.
Mwanza kulishakuwa na RTO anayelingana cheo na RPC, wote maACP huku RCO akiwa SSP. Na baadae nadhani hadi sasa kukawa na RTO mwenye cheo cha ASP huku maDTO wa nyamagana na ilemela nao wakiwa na cheo hicho hicho cha ASP.Just Google hivyo vyeo vipo tu But RCO (Regional Crimes Officer) kimsingi angepaswa kuwa na cheo cha kipolisi (rank) ya Assistant Commissioner of Police (ACP) then RPC (Regional Commander) at least angekuwa na cheo cha SACP ( Senior Assistant Commissioner of Police).
SSP ni Senior Superintendent of Police anakuwa na lishilingi mabegani Hawa wanakuwaga OCD wa wilaya nyingi ambazo hazina changamoto ya kipolisi.
Sasa SSP ambaye anapewa kuongoza wilaya kama OCD (Officer Commander of District) kiukweli kuwa sawa na RCO ambaye hawana tofauti sana na RPC sema sababu ya Chain of Command inabidi RPC ndio awe na Rank kubwa ya Usenior kamishna huwezi kumfananisha kwa rank wawe sawa na OCD.
Kama ndio hivyo, je staff officer atakuwa na rank gani? Polisi wananyima vyeo sana bila sababu. Mtu anapewa mkoa mzima unamuacha awaongoze SSP wenzie heshima ya kijeshi including proper chain of command inatoka wapi?
Yani ni sawa na RPC awe rank moja na RCO au Staff officer [emoji1745] hapo hakuna wa kumbabaisha mwenzake.
Note: RPC, RCO, OCD, OCS hizi ni administrative posts ambazo zinaongozwa na police wenye rank mbalimbali za kupishana kulingana na majukumu na chain of command.
Mkuu utakua unapenda madaraka sana eti kutakua hakuna wa kumbabaisha mwenzake ila mi mbona naona polisi wanafanya kazi kwa ushirikiano sana yani coplo anakua anampigia simu Rpc na wanafanyakazi fresh tu kazi ili iende haiitaji mabavu bali weredi na kuheshimiana alafu kijeshi mnaweza kuwa cheo sawa ila mwenye namba ya juu ni bosi wako so kila ukiona askali wawili ujue mmoja ni mkubwaJust Google hivyo vyeo vipo tu But RCO (Regional Crimes Officer) kimsingi angepaswa kuwa na cheo cha kipolisi (rank) ya Assistant Commissioner of Police (ACP) then RPC (Regional Commander) at least angekuwa na cheo cha SACP ( Senior Assistant Commissioner of Police).
SSP ni Senior Superintendent of Police anakuwa na lishilingi mabegani Hawa wanakuwaga OCD wa wilaya nyingi ambazo hazina changamoto ya kipolisi.
Sasa SSP ambaye anapewa kuongoza wilaya kama OCD (Officer Commander of District) kiukweli kuwa sawa na RCO ambaye hawana tofauti sana na RPC sema sababu ya Chain of Command inabidi RPC ndio awe na Rank kubwa ya Usenior kamishna huwezi kumfananisha kwa rank wawe sawa na OCD.
Kama ndio hivyo, je staff officer atakuwa na rank gani? Polisi wananyima vyeo sana bila sababu. Mtu anapewa mkoa mzima unamuacha awaongoze SSP wenzie heshima ya kijeshi including proper chain of command inatoka wapi?
Yani ni sawa na RPC awe rank moja na RCO au Staff officer 🤷 hapo hakuna wa kumbabaisha mwenzake.
Note: RPC, RCO, OCD, OCS hizi ni administrative posts ambazo zinaongozwa na police wenye rank mbalimbali za kupishana kulingana na majukumu na chain of command.
Kwa hiyo unataka RPC's na RCO's wawe na rank sawa?Mi namshauri Afande IGP kuweka Ma RCO wa rank ya ACP maana kwa kweli ma RCO kuwa na rank sawa na MaOCS kwa kweli Dah! OCD kuwa SSP sawa ila SSP kuwa RCO dah!
Ndo hivo sasa ujue vyeo ni dhamana tuuMi namshauri Afande IGP kuweka Ma RCO wa rank ya ACP maana kwa kweli ma RCO kuwa na rank sawa na MaOCS kwa kweli Dah! OCD kuwa SSP sawa ila SSP kuwa RCO dah!