IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

🤣🤣🤣WAANDAMANE TU SISI TUKO BIZE NA BUNGE LA TOZO ZA MIAMALA, MAANDAMANO TUWAACHIE,KINA HECHE,MNYIKA,NA WENGINEO WASIOJIPENDA🤣🤣🤣
 
Usiwapangie cha kuongea bibiye.
Wale ni watu wazima na huenda wamekuzidi kila kitu.
 
nyinyi mlimjaza misifa kisha akavimba akajiona kweli yeye ni mwamba sasa ona matokeo yake ameangamia kwa matendo yake.
hakuna aliyemjaza sifa mtu, alichokuwa akikipigania Mbowe kina manufaa kwangu na kwako na vizazi vinavyokuja, hajakosea,

Katiba ni sawa na usukani katika gari. Usukani uliopo haufai tunapotea njia mara ajali yani ni vululu vululu.
 
na chadema ushahidi wanao kwamba mnaushahidi wakutengeneza membambikizia kesi feki ya ugaidi
 
Je uko sawa ushahidi huo
 
Sijawahi kuwaamini polisi hata kama ni usiku wakaniambia nje giza nitatoka mwenyewe nje kuhakikisha.
Polisi ni ccm, CCM ni polisi
Polisi sio walinzi wa raia na mali zao polisi ni wezi, majambazi
Polisi ndio wanaongoza kwa rushwa
 
Utayarudia hayo mara elfu lakini hayamsaidii Mbowe au anayetaka kuandamana kwenda mahakamani! Mwisho itafanana na ile ya Lissu alimiminiwa risasi 36! wameirudia mara infinity lakini haisaidii kuwakamata waliotaka kumuua!
Mbowe anapelekwa mahakamani, anaye wakili wake (maana yeye ameshauliwa na Lissu kutotoa ushirikiano na kusema lolote). Kama ana kesi ya kujibu tutaambiwa kama hana ataachiwa! Vuta subira! Maana hapa kati ya IGP na Mbowe, kuna mkweli na mwongo! (respectively - joke)
 
Umesikia mapokeo ya Watanzania kuhusu kodi katika miamala? Wewe kama Mtanzania katika nchi iliyo huru kwa miaka 60 ni kipi UNAJIVUNIA!?
Haya mambo ya mitandaoni mlisusuia kutumia vodacoma makafeli mkasusia kutumia bidhaa za asas mkafeli
 
Keyboard warriors on freak.
 
IGP Sirro amesema amesikia kwamba Freeman Mbowe wa Chadema ni mkristo hivyo kama ni kweli Mbowe ni mfuasi thabiti wa Yesu Kristo basi awaeleze wenzake ukweli kuhusu kesi inayomkabili mahakama ya Kisutu

Source: Star tv

Mungu ni mwema wakati wote!
 
Sirro msanii sana, analazimisha Mbowe akiri kosa kisayansi, hapo hakuna cha Yesu wala nini, aiache mahakama ikaamue na huo ushahidi wao anaojidai nao, hii mind game aliyojaribu kuicheza haina maana.
 
We have a stupid and strange igp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…