IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

sasa wakufa ni nani ? ndiyoswali la muhimu watangaze kuwa mnyika atakuwa mbele sehemu fulani wamfuate siyo anawqambia tu watu wakaandamane yeye anawaangalia kwenye tv
Kwani mnyika ulimsikiza jana! Anasem yeye atakuwa mbele kama mbowe ambaye amejitoa sadaka ili wewe upone. Hata mimi nitakuwa mbele ili we mwoga upane
 
Kama kweli una Mungu na wewe ni mfuasi wa dini tueleze umewakamata wangapi hadi leo...yale maboxsi ya kura yalioletwa na akina Mdee vituoni ( kabla hawajaasi) yako wapi?

 

Kwamba "Uvccm mnamshukuru Sirro kwa makatazo? Kwamba msiburuzwe? Mtaheshimu sheria na kwamba sasa mmeelewa vizuri .....?" --- Na huo utopolo mwingine wote uliojaza hapo.

Kwamba Mnyika na Lema...?

CCM ndiyo wamekutuma kuyasema hayo?

😂😂😂😂😂😂😂!

Hiiiiii bagosha!

Si bora ungekaa kimya tu jombi?
 
Akikujibu niite Mkuu, Niko smoking room one time.
 
Sawa Broo
 
Tuna madhaifu?

Ni kana kwamba kuwa tunakubali kuwa mwamba ana makosa, ila chargesheet ina mapungufu.

Front page ya gazeti la raia mwema limetoa picha kamili kuwa tunabali kuwa mwamba huenda ana makosa, ila charge sheet ndio inamapungufu.

Kwa ufupi tunatakiwa kubadilika sana, maana bado tunamapungufu.
 
Hata MAGUFULI alioneka Yuko SAHIHI kwenye Suala la CHANJO
 

Jeshi letu la polisi ni taasisi inayoshiriki uhalifu wa kimfumo hapa nchini, na sababu hasa polisi wanatumia nafasi zao kujinufaisha na rushwa. Hivyo wanachofanya jeshi la polisi na ni kulindana na chama tawala, viongozi wa serikali wanawaachia polisi wale rushwa, na viongozi wa ccm na serikali wanawatumia hao polisi kupora chaguzi.

Lakini haya yote yatafikia mwisho kwa machafuko makubwa. Ni suala la muda tu huu uchafu wote utafikia mwisho. Na uzuri tunatunza rekodi za hawa wahalifu wote, Siku kikinuka wote hawa wanaofanya uhalifu sasa kupitia madaraka yao hata wakiwa wazee lazima wawajibike. Katiba mpya ni lazima hata mfanyeje.
 
Waambie ccm watoke wakae mbele, maana wao ndio wanaowaagiza polisi kubambikia washindani wa ccm kesi
 
Kama kweli una Mungu na wewe ni mfuasi wa dini tueleze umewakamata wangapi hadi leo...yale maboxsi ya kura yalioletwa na akina Mdee vituoni ( kabla hawajaasi) yako wapi?

Hata akija kustaafu, IGP Siro hatokuja kulijibu suali hilo!
 
Ukweli ni kwamba Mbowe ushahidi uwe au usiwepo Mbowe awezi kuwa gaidi kamwe
 
Waambie ccm watoke wakae mbele, maana wao ndio wanaowaagiza polisi kubambikia washindani wa ccm kesi
Jeshi la Polisi limeundwa kwa mujibu wa sheria na moja ya majukumu yake makubwa ni KULINDA RAIA NA MALI ZAO, lkn pia kulinda AMANI na UTULIVU.
haijalishi yeyote atakaye vunja sheria atachukuliwa hatua kali za kisheria bila kujali chama chake awe ccm, chadema au hata kama hana chama atachakazwa vilivyo.
Amani ya nchi yetu ni muhimu zaidi kuliko chama chochote kile.
 
What kind of IGP we have? Is it a Tanzanian or illegal migrant from Rwanda? Tunaelewa mashtaka ya Mbowe Ni ya kipumbavu na hayana msingi wowote,free Freeman Mbowe .
"FREE FREEMAN". Wataalamu "Behaviorist et la. Iwekeni hiyo kitaalam iwe "Moto" ya wapenda haki na amani katika saga hili. Kilangila.
 
FREE FREEMAN. Kilangila.
 
 
Hivi huyo ziro anajiona ana akili kuliko watu wenye akili zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…