Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Hapa inabidi iwapige hawa jamaa wenyewe ndio labda akili itawakaa sawa.Muda si mrefu Corona itapiga jitu kubwa chini na mipaka itafungwa rasmi.
Kwa sasa bado tunacheka na corona ila soon itatugeukia na kuanza kupiga watu chini.
Ila Mungu anawaona wanachokitaka watakipata