IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

Huwa wanakuwa na akili za punda hao.Mwingine aliita watoto wa watu vilaza.Mara hataki wanafunzi waliopata watoto waendelee na masomo.Tafrani tupu.Saa hizi anapiga soga na mashetani wenzie tu huko kuzimu.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Mara binti akadisco university . Sijui yeye hakuwa kilaza ?!
 
Kwanini mnaeneza chuki?

Itawasaidia nini?!
kuna watu pia wanataka kupitishia ajenda zao kwenye hili jambo maana kuna wanaoutaka u IGP wameanza kampeni lazima watumie mistake yeyete ambayo Siro atafanya kumu attack awe mwangalifu kwa kauli na matendo yake amalizie muda wake vizuri
 
Hakuna mwanadamu apangaye nani azaliwe duniani isipokuwa Mola pekee.

Suala la mtu kuwa wa namna fulani ni choice zake mwenyewe kutokana na jinsi anavyoyachukulia maisha na matukio yake.

Huwezi kuwasononesha ndugu na wazazi wa Hamza kwa jambo lile.Wao inawahusu nini?

Yeye polisi badala ya kufanya uchunguzi kwa weledi wake akatuletea sababu yenye mashiko kulikuwa na nini kati ya vijana wale wa kitanzania hadi wakapigana risasi,anaanza kuleta shombo za ajabu ajabu.

Sina kawaida ya kuwasema viongozi lakini huyu mzee ameniboa sana.Wamtoe pale,hafai kuongoza jeshi letu tena.

Hivi mzee Sirro na wale wanaozaa taahira nao unataka tuwalaumu wazazi wao kwa kuzaa vilema wasiochangia chochote kwenye nguvu kazi ya taifa?

tutafika kweli tukiwa na falsafa za aina hii?unaelewa upana wa kauli yako mzee wangu?!inasikitisha sana!
 
Mtoa uzi, shikamoo....!!!!. Inawezekana nakuzidi umri,lkn nimekupa salamu hii km ishara ya kuheshimu busara zako zilizoonekana ktk uzi huu, Kweli pale hatuna IGP, nashangaa Kwanini amekuwa na mihemko kiasi kile, nadhani angejikita kujua Kwanini mtu ambaye Chama tawala kilimwani hata kuwa mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Wilaya ya Ilala,Dola yenyewe ilimwamini ndio maana alimiliki silaha kisheria,Haya hata ktk kuua,aliua Askari tu,na si raia, Kwanini??.Sirro km mtu mzima ilipaswa atafakari hayo na si kuwalaumu Wazazi wake Hamza na kuwapaka matope.
 
Umenena vema Mkuu.Na tiba pekee kwake ni toba na kumrudia MUNGU.
 
Acheni kuwatoa watu kwenye mstari wa kujadili Ugaidi kwa kumnyooshea kidore IGP.

Msomali asingefanya ule Ugaidi IGP asingeyasema hayo na ameyasema kwa uchungu mkubwa kitendo kile cha kuua wale watu kinauma sana!
Kwahiyo unahalalisha hizo kauli za Sirro? kwanini usione kuwa Sirro pia nae kakosea?

Mwambie basi atuambie Mkewe Sirro alizaa vp wanae ili watanzania wajifunze jinsi ya kuzaa vizuri ili wapate watoto wakamilifu kama yeye?
 
Kuna wqtu wqkizeeka, busara huongezeka, lakini kuna wengine hugeuka na kuwa wendawazimu. Huyu Siro, sielewi kadiri umri wake unavyozidi kwenda, anakuwa kwenye kundi gani!

Tangu asubuhi, baadhi ya makamanda wamenipigia simu kuelezea disappoinyments zao dhidi ya Siro.
 
Tujiulize wajumbe humu wapi mliwahiona mtto was polisi emekuwa daktari,injinia,hakimu,rubani nk. Hawa ni wa2 waliolaanika kwa matendo yao ya dhambi. Bora kuwa na mtto Kama Hamza Mana amejionesha kuwa alikuwa brave enough.
 
huyo mtoto wa nani ? tuanzie hapo ili mada inoge, huyo wa hoteli ya chanika
 
Pongezi kwa "MTOA KAULI" ' aijipii SILO" kwakuwa una mke mzuri sana, labda mke aliolewa akiwa bikra na labda huyo mke mezaa "malaika" hongera sana, mlipanga kuzaa malaika!

mungu saidia walipenda kuzaaa "malaika" ila wakajikuta wamezaa"watoto wa ajabu kama walivyoitwa na "aijipii"
 
Ila watu tunatofautiana sana aiseee...!

Kwangu mimi huyu Hamza mbona ni kijana shujaa sana? Mimi natamani nipate mtoto kama Hamza ili akionewa aweze kujisimamia na kuitafuta haki yake bila kujipendekeza kwa mtu au kulialia.

Mwenyezi Mungu mjaalie Hamza pumziko jema.Wale wengine waweke popote tu utakapoona panafaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…