IGP Sirro: Jeshi la Polisi kukagua yanayofundishwa kwenye nyumba za Ibada


Uliyasikia kumbe, na wala hujashuhudia!!!!! Aise acha kwenda vijiwe vya kahawa.
 
Kwa hiyo Rwanda ndio imekuwa role model wetu? Hivi wao hasa wanautulivu, amani na demokrasia nzuri kiasi cha sisi kwenda kwao kusoma na kuiga?
 
IGP fanyeni kiintelligensia msitangaze vinginevyo wata-pretend kuacha kwa muda kisha badae kuendelea!

Fanyeni kisiri siri!

Hilo jambo ni muhimu sana na wala msirudi nyuma ktk kulitekeleza, isipokuwa fanyeni kwa siri na ustadi mkubwa ili kuweze kutimiza lengo !
 
Sambamba na hilo andaeni regular seminars za Viongozi wa dini wakafundishe waamini wao kuhusu namna ya kubaini magaidi, madhara yatokanayo na Ugaidi na jinsi ya kuepuka Ugaidi na usiri ktk kutolea taarifa na mtoa taarifa kulindwa kwa kiapo!
 
Mashuleni mpaka mikoani jipangeni mkawaelimishe Walimu na wanafunzi kuhusu hilo jambo.

Mnakumbuka yule mwanafunzi wa Bihawana kule Dodoma aliyekamatwa kule Chuo cha Gharisa nchini Kenya kwenye tukio la mauaji la kigaidi?

Rashid Mberesero, unaambiwa alikuwa anashinda msikitini darasani haingii mzazi wake(mama) yake alilia sana kumbe mwanae alikuwa anajifunza kuua watu wasio na hatia!

Pateni Picha!
 
Kareti haaaa
 
OCDs, Afisa usalama wa Wilaya , wakuu wa vituo wapate semina halafu wahakikishe kwenye kila Wilaya , Tarafa, Kata , vijiji na vitongoji vyao watu wote wa dini zote na wale wasio na dini kupitia wajumbe wa nyumba 50 wote wapate awareness ya jambo hilo la Ugaidi.
 
Ovyo kabisa, Trump aliita africa whole shit akimaanisha kwamba bado tuko zama za ujinga, uncivilized, eti wafahanu mafundisho ya madrasa za kiibada sasa haya mambo wap na wap ni kama vile akili zao zimegonga wameshindwa kubuni mambo ya kitaalamu au hata kujifunza kw nchi wenzetu uko nje sio kama hapo kw kagame.,

Siro mpaka kuja kuzifahamu madrasa za dini itamkosti muda kiasi gani ili apate nini.,
 
mtahangaika sana kama Polisi msipobadilika na kuacha dhulma dhidi ya Raia tutazidi kuwachukia mmoja wao ni mimi mpaka naingia kaburini nina bifu na polisi kwa walionifanyia...

mtasingizia madrasa na sunday school 🏫
 
Lengo lao ni kumfunga mboye then sisi polisccm tuende kwenye nyumba za ibada tukasikilize viongozi wa dini na waumin wao watazungumza nini baada ya kifungo
 
Amesema hizi mbinu za kudeal na nyumba za ibada wamejifunzia Rwanda na watazitumia kweri-kweri hapa Tozonia.
 
Gwajiboy anawafanya waweweseke yaani. Gwajiboy yeye anasoma upepo tu kwamba akasemee kanisani au bungeni. Inawezekana aliutafuta ubunge kwa malengo ambayo hata CCM hawayajui
 
Mtu hafundishwi uzalendo...anajengwa na matendo mema ya watawala kuwa mzalendo
 
Akakague kwanza kile chuo cha polissi Moshi kuweza kujua polisi wanafundishwa nini kule kiasi cha kuwafanya kuwa genge la waovu badala ya kuwa walinzi na watunzaji wa usalama na amani.
Inawezekana huko Moshi CCP polisi wanafundishwa namna ya kutoza ushuru!
 

Huyo mzee akae mbali na dini ya Mwenyezi Mungu,, otherwise itamcost yeye na familia yake+watumwa wake/Polisi.
 
Wewe na wauwaji wenzio hamjachoka kuua watu na kuwatupa baharini sio! Basi tafuteni mbinu nyingine sio hizo za kutoa namba za simu umwambie mtu apige kwani umesikia natafuta namba ya mtu,jinga sana.
Pole sana, usilolijua litakusumbua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…