Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Fuatilia vizuri si kuongea tu Jambo ambalo hulijui au hujafanyia utafiti. Hao wapo huko Kila siku wanajua wanachokiongea. Mimi nikiwa chuo mwaka 2012 niliyasikia hayo kwa watu wa mtaani. Wanayajua Sana tu kuwa Kuna mambo yanaendelea huku mtaani si mazuri walisema watoto wa sekondari wanasajiliwa kwenye makundi ya kigaidi
Hizo ni hekaya tu.
Kwa hiyo Rwanda ndio imekuwa role model wetu? Hivi wao hasa wanautulivu, amani na demokrasia nzuri kiasi cha sisi kwenda kwao kusoma na kuiga?IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.
Chanzo: Swahili times
My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti.
===
Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa litakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili (Sunday schools) kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro ameeleza hayo wakati akizungumzia ziara yake ya siku nne nchini Rwanda na kusema wamejifunza hilo kutoka huko, hivyo ni vyema wapite kwenye maneno hayo kujua malengo ya mafunzo yanayotolewa.
“Tumeona wenzetu hizi shule za dini, kwa mfano haya Madrasa, kwa mfano hizo Sunday schools kuna kikosi maalum kuona mafunzo yanayofundishwa. Je! Mafunzo yale yanatolewa kwa ajili ya uzalendo, au ni mafunzo yanayotolewa kwa ajili ya kuharibu nchi,” amesema Sirro akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Sirro ameeleza utaratibu huo ni mzuri na kwamba watawashirikisha viongozi wa dini na timu ya kupambana na makosa ya kigaidi kuona namna ya kupitia mafunzo yanayofundishwa kwenye shule za dini na shule za elimu dunia, hadi ngazi ya vyuo vikuu, kuona kama mafunzo yanawajenga au yanawabomoa vijana.
Aidha, ameitaka jamii kutoa taarifa endapo itabaini kuna mtu ana tabia au mwenendo kinyume na jamii husika, na kwamba sio lazima mhusika afungwe, bali wanaweza kumsaidia kuwa mtu mwema na akaendelea na shughuli zake.
Kareti haaaaIGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.
Chanzo: Swahili times
My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti.
===
Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa litakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili (Sunday schools) kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro ameeleza hayo wakati akizungumzia ziara yake ya siku nne nchini Rwanda na kusema wamejifunza hilo kutoka huko, hivyo ni vyema wapite kwenye maneno hayo kujua malengo ya mafunzo yanayotolewa.
“Tumeona wenzetu hizi shule za dini, kwa mfano haya Madrasa, kwa mfano hizo Sunday schools kuna kikosi maalum kuona mafunzo yanayofundishwa. Je! Mafunzo yale yanatolewa kwa ajili ya uzalendo, au ni mafunzo yanayotolewa kwa ajili ya kuharibu nchi,” amesema Sirro akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Sirro ameeleza utaratibu huo ni mzuri na kwamba watawashirikisha viongozi wa dini na timu ya kupambana na makosa ya kigaidi kuona namna ya kupitia mafunzo yanayofundishwa kwenye shule za dini na shule za elimu dunia, hadi ngazi ya vyuo vikuu, kuona kama mafunzo yanawajenga au yanawabomoa vijana.
Aidha, ameitaka jamii kutoa taarifa endapo itabaini kuna mtu ana tabia au mwenendo kinyume na jamii husika, na kwamba sio lazima mhusika afungwe, bali wanaweza kumsaidia kuwa mtu mwema na akaendelea na shughuli zake.
Ni maajabu,ni Tanzania tu ndio mazoezi ya karate eti ni ugaidi 😜Kwahiyo kareti ndio ugaidi?
Inawezekana huko Moshi CCP polisi wanafundishwa namna ya kutoza ushuru!Akakague kwanza kile chuo cha polissi Moshi kuweza kujua polisi wanafundishwa nini kule kiasi cha kuwafanya kuwa genge la waovu badala ya kuwa walinzi na watunzaji wa usalama na amani.
Ovyo kabisa, Trump aliita africa whole shit akimaanisha kwamba bado tuko zama za ujinga, uncivilized, eti wafahanu mafundisho ya madrasa za kiibada sasa haya mambo wap na wap ni kama vile akili zao zimegonga wameshindwa kubuni mambo ya kitaalamu au hata kujifunza kw nchi wenzetu uko nje sio kama hapo kw kagame.,
Siro mpaka kuja kuzifahamu madrasa za dini itamkosti muda kiasi gani ili apate nini.,
Pole sana, usilolijua litakusumbua!Wewe na wauwaji wenzio hamjachoka kuua watu na kuwatupa baharini sio! Basi tafuteni mbinu nyingine sio hizo za kutoa namba za simu umwambie mtu apige kwani umesikia natafuta namba ya mtu,jinga sana.